Taasisi ya TWAWEZA yazindua ripoti yake kuhusu Demokrasia, Udikteta na Maandamano

Kama zitto pia wamemuhusisha katika kutoa maoni,basi chadema na cuf wajiandae,maana inavoonekana maengineer wa figisu figisu na fitna wanaanza kukusanyana.
 
Ndo maana siwezi hata siku moja kuamini utafiti wa twaweza

Angalia hizi takwimu kama ni kweli juu ya ufanisi wa vyama vya siasa

UKITOTALIZE UNAPATA TAKWIMU ZIFUATAZO JE HAPO TWAWEZA WAATUELEZA VIPI?

(hapa twaweza analysis yao sijui imefanywaje kwa sababu asilimia zinazidi mia moja pengine chini ya mia sasa hii ikoje jamani mkafanya research mkagraduate ndo mlifanya hivo?)
View attachment 409210

COMPARAE WITH THE DIAGRAM BELOW

Source:Twaweza, kielelezo apa chini.
View attachment 409211
Hence cooked.Hahahaha
 
Kama kweli wanataka utafiti wa kweli watupitie na sisi humu jf waone tutaongea nini, wasituletee matokeo batiri

Na kama wanauakika wa utafiti wao wakamshauri Magufuli aruhusu mikutano ya siasa aone, watu si wanamkubali,kutakuwa na tatizo gani,in a mana wapinzani watakosa watu,nafikili kuna watu twaweza wanatafuta UDED,jitaidini mtaupata
 
Nchi yetu wengi wa walioenda shule wameishia kuwa wapiga debe wa wana siasa, kwa kuendekeza njaa zisizo na maana na kwa kutotaka kufanya kazi za taaluma zao na mwishowe tunaishia kufanya tafiti za kuwafurahisha watawala.
 
Wakati huo huo tumeambiwa watanzania hutumia asilimia 1 tu ya akili, hii inajumuisha hao waliofanya utafiti na kikundi kilichofanyiwa utafiti

 
TWAWEZA maoni mmeyatoa wapi wakati huku mtaani kila tunachosema ni uchochezi? au ni maon ya kifamilia ? mimi siamin coz uhuru wa habar unaminywa.. inafikia mtu anaomba malaika aje afunge mitandao? ili tusipate habar kwa mimi hapan
 
Utafiti wao feki coz upo biased, mtu unamkabidhi simu unategemea kupata majibu huru
Utafiti hupingwa kwa tafiti kwa kutumia mchakato ule ule uliotumika kupata hizo takwimu.

Angelo007 na wenye mawazo kama yako, fanyeni utafiti kukanusha na siyo hisia.

Tuachane na ubingwa wa kuropoka tu.
 
Twaweza Wanauza Nafsi zao Kwa Mkate na Kipande cha samaki, Lakini, Ukweli Ni Kuwa Hawa Ni Kama Mlevi ambaye Kwa chupa ya mataputapu bila Kusita, Atamuuza Mkewe, Bintiye, Dadaye au hata Mama yake Kwa Mambo ya aibu. Jiulize Hawa watu Tanzania wana zaidi ya Wafanyakazi 25, Wanatumia gharama za Kufanya Utafiti? Je Huwa Gharama zao za Uendeshaji, Mishahara na maslahi ya Wafanyakazi, Gharama za Kufanya Utafiti, Wanapata Fedha Kutoka Kwa Nani?
Ni Mara Karibu ya Tatu sasa Wanafanya "Tafiti ya Kubong'olea makalio CCM" Kama Wana Nia Njema? Mbona sioni Wakifanya Utafiti Kuhusu Elimu Nchini? Maambukizi ya Magojwa, Ongezeko la Umasikini etc. Na Nikazie sana Swali Source yao ya Income ni Nini? Nani huwa anawalipa hawa Malaya Kutujaza uharo!
 
Utafiti hupingwa kwa tafiti kwa kutumia mchakato ule ule uliotumika kupata hizo takwimu.

Angelo007 na wenye mawazo kama yako, fanyeni utafiti kukanusha na siyo hisia.

Tuachane na ubingwa wa kuropoka tu.

Utafiti hupingwa kwa Utafiti, huu siyo utafiti ni maigizo tu!, modality yao ya kugawa simu halafu ukaendelea kukusanya maoni kwa watu walewale haiwezekani ikawa ni utafiti.
 
Back
Top Bottom