johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,127
Askofu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Kati anayestaafu Dr Tavsangwa amempongeza na kumshukuru Rais Samia kwa kuyaruhusu Maandamano ya Chadema yaliyofanyika jijini DSM
Askofu amesema yawezekana Sauti za kukataa Maandamano zilkuwa nyingi kutoka Bungeni, Mahakama, Vyama vya Siasa, Wananchi nk Lakini Rais Samia akaamua kusimama na Sauti ya Mungu na kuruhusu Maandamano ya Amani
Hayo yamesemwa mbele ya Makamu wa Rais Dr Mpango aliyekuwa Mgeni rasmi kwenye Ibada ya kumsimika Askofu mpya Dr Mollel
Source Upendo TV
Askofu amesema yawezekana Sauti za kukataa Maandamano zilkuwa nyingi kutoka Bungeni, Mahakama, Vyama vya Siasa, Wananchi nk Lakini Rais Samia akaamua kusimama na Sauti ya Mungu na kuruhusu Maandamano ya Amani
Hayo yamesemwa mbele ya Makamu wa Rais Dr Mpango aliyekuwa Mgeni rasmi kwenye Ibada ya kumsimika Askofu mpya Dr Mollel
Source Upendo TV