Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Thanx PJ endelea kutupa taarifa na pia utatwambia ni jinsi gani tuweza kumfariji Mwenzetu!UPDATE 1:
Confirmed Freetown ataondoka leo huko ughaibuni mwendo wa saa 6 usiku ambapo itakuwa ni saa 10.za alfajiri kwa huko anakoishi, na anatarajiwa kuwasili JNIA mwendo wa saa 7.00mchana kwa ndege ya shirika la QATAR AIRWAYS.