ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,755
- 45,309
Sijui shida ilikuwa nini yaani ukiwa unasafiri na bus haswa kwenda dar tuseme bus linaondoka saa 12 asubuhi basi usiku unapata mawenge usingizi hauji kabisa Ila siku hizi ukiwa na safari ya kesho saa 12 hupati mapepe wala wasiwasi wa kuachwa na gari unalala fresh tu hata ikibidi pombe unakunywa.
Nini kimesababisha mabadiliko hayo?
Nini kimesababisha mabadiliko hayo?