PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
- Thread starter
- #81
iNFO ZITAKUWA AVAILABLE.PJ tunaomba more info wapi kwa FT? ibada ya mazishi itakuwa kanisa gani some of us are living in Arusha and we would like to attend. thanks
Kwa ufupi ni kwamba marehemu atasafirishwa kuelekea Njombe Iringa!
Kwa huku Arusha wanaishi USA, na ni wazi kutakuwa na taratibu za kuuaga mwili wa marehemu kati ya Jumamosi na JUMAPILI!.
HIYO ndiyo itakuwa nafasi ya pekee kwa tulio Arusha kuagana na shemeji yetu.
Tuko pamoja.