Bob
JF-Expert Member
- Sep 10, 2007
- 293
- 63
Sasa nimeelewa mantiki ya misemo miwili toka kwa maspika wawili waliomtangulia:
(1) siwezi kumwacha akakurupuka katika suala zito kama hili (Richmond) na,
(2) ilibidi nikasome sheria ili niweze kuongoza kikamilifu chombo hiki kikuu cha kutunga sheria.
Do you remember what were her reactions?
Think and reason between the lines, they new her ability!
Naanza kufunguka.
(1) siwezi kumwacha akakurupuka katika suala zito kama hili (Richmond) na,
(2) ilibidi nikasome sheria ili niweze kuongoza kikamilifu chombo hiki kikuu cha kutunga sheria.
Do you remember what were her reactions?
Think and reason between the lines, they new her ability!
Naanza kufunguka.