Taarifa ya Lissu kwa vyombo vya habari kuhusu Spika wa Bunge

Chama Cha Majambazi mwaka huu mtakoma ubishi mmezoea kula vya kunyonga khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kwa raha zake Makinda ata mkimtoa keshaweka historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa speaker!
Kwake yeye mission accomplished so tutabaki tunaumiza kichwa

Mkubwa una uhakika hapo kwenye red? Mwanamke wa kwanza duniani, africa, east africa, tanzania au kijijini kwao?
 
Mama mwenyewe amejaa unazi tu maana toka mwanzo alikuwa katika hali kama hiyo maana alikuwa na upendeleo mkubwa sana
 
Kiukweli mh. Lisu kasema ukweli mtupu, haiingii akilini madam spika anafanya maamuzi kwa jaziba halafu watu wakakaa kimya, kimsingi inaonekana anataka kufanya kazi kimazoea. Si rahisi sana.
 
Lissu kama mwanasheria anashangaza sana. Sasa mara aseme yeye yuko mahakamani kwa kesi inayohusu hao waliouiliwa Nyamongo halafu alaume Spika hakutenda haki kuzuwia yasiongelewe. Hivi ananini huyu? Ili mradi alalamike tu?

SI asuse kama anaona hatendewi haki? Asuse na kwenda mahakamani pia (Spika sikasema yuko nje kwa dhamana? Au alidanganya hapo Spika). Lissu susa kwenda mahakamani halafu muulize Mbowe zile siku mbili alilaa kitandani? Sakafuni au juu ya desk? Alipokaidi kwenda mahakamani?

Dada yangu mbona kila jambo liko wazi, au hutaki tu kuelewa? Kesi iliyoko mahakamani haihusu mauaji ya Nyamongo hata kidogo, bali matukio yaliyofanyika Tarime mjini. Kwa hiyo mauaji ya Nyamongo hayana kesi yoyote kwa sasa, na kama unadhani Mheshimiwa Spika alikuwa sahihi na vipi kuhusu alivyosema Esther Matiko anakabiliwa na kesi wakati hana kesi yoyote katika mahakama ya Tarime? Jamani hata kama ni wafuasi au wapenzi wa chama tawala pale kwenye ukweli tuwe wakweli tu ndipo tutaweza kuiendeleza Tanzania.

Halafu unamshauri Lissu asuse nini? Mbona njia aliyotumia ndiyo sahihi ambayo inaendana na kanuni za bunge? Hebu tuwe wazalendo kwa nchi yetu jamani.
 
FaizaFoxy
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • add.png
    Add as Contact
  • email.png
    Send Email
JF Senior Expert Member
[h=2]This message has been deleted by Paw. [/h]ReasonNje ya mada
 
Magamba wa kujipanga na kujibu hoja kama hizo ni nani?

Angalia hoja zao!



Hata Bungeni mambo ni hayohayo!

Mkuu nimetafuta kitufe cha thanks mpaka kwa kumulika kwa tochi sijakiona, nimeona nikupe thanks LIVE!
 
lissu muhuni tu

kwani utaratibu ndio haujui? sasa kuzungumza na vombo va habari iwe nn? kama sio kutafuta misifa ya kijinga

hawa chadema wanadhani kutengeneza mabifu ndio kutawapandisha?
 
jamani huyu mama juzi mimi nimemuona mambo aliyofanya siyo kabisa na kwwa hali hii anajichimbia kaburi hata kwenye jimbo lake na ajue iko siku hii nchi itashikwa na chadema sijui watarajie nini,
 
Kama kuna mwenye update kwenye hii ishu naomba atupatie. It is a precedent setting undertaking. Shujaa wetu Lisu tunakuombea. Laiti ungekuwa na nafasi zaidi ya kuongoza taifa. Laiti ungekuwa AG wetu. Mabwanyeye kama ya Barrick yangekoma.
 
Spika hajapata utulivu huyo. Mpeni Mume ndio atatulia na kutoa maamuzi sahihi.

Poleni sana
 
anna makinda nakufagilia sana mana hao wabunge wapumbavu walijua wanakuja bungeni kutawala ss wamepatikana wamelutana na chuma cha pua.
 
Mtu yeyote mwenye akili hawezi kushangaa utendaji wa huyu spika. Ukifuatilia kwa jinsi alivyoingia hadi kupata kiti hicho hutashangaa hata kidogo. Anachokifanya ni sawa na baadhi ya wana JF hapa jamvini, ambao wametumwa kwa ajili ya kupinga hoja za wapinzani na kutetea utumbo wa chama tawala. Nina hakika wote tunawajua watu hao.

Huyu mama hana uwezo wa kuliendesha bunge. Anafanya msisimko wa bunge unapungua kabisa. Ameshindwa kujifunza kabisa kutoka kwa mtangulizi wake "mzee wa kasi na viwango". Bahati mbaya kwake ni kwamba wabunge wa upinzani hasa wa CDM sio watu wa kuburuzwa na akiendelea na mtindo wake huu mwisho wake utakua mbaya sana.

Naona pia Serikali imeanza kutuhujumu kuhusiana na sisi wananchi kufuatilia vikao vya bunge. Kwani huu mgawo wa umeme usiokuwa na kichwa wala miguu unatukosesha raha wananchi. Wameamua wamuweke spika wao kilaza na kutukatia umeme ili tusifuatilie mijadala bungeni. Kweli Serikali yetu inaonyesha kila dalili ya kuchanganyikiwa na anguko hivi sasa ni dhahili. Wenye akili walisema huwezi kuwadanganya watu wote kwa wakati wote
 
Lissu kama mwanasheria anashangaza sana. Sasa mara aseme yeye yuko mahakamani kwa kesi inayohusu hao waliouiliwa Nyamongo halafu alaume Spika hakutenda haki kuzuwia yasiongelewe. Hivi ananini huyu? Ili mradi alalamike tu?

SI asuse kama anaona hatendewi haki? Asuse na kwenda mahakamani pia (Spika sikasema yuko nje kwa dhamana? Au alidanganya hapo Spika). Lissu susa kwenda mahakamani halafu muulize Mbowe zile siku mbili alilaa kitandani? Sakafuni au juu ya desk? Alipokaidi kwenda mahakamani?

Sio lazima kuchangia mambo yasiyokuhusu kwani hii ni sawa na kuingilia ugomvi wa wanandoa na kuanza kutoa Comments za nyumbani kwenu.
Acha uzuzu na acha kukurupuka kilaza wa CC-Magamba mkubwa. hujui chochote nyamaza kimya kibaraka weee!!!!!!!!!!
 
anna makinda nakufagilia sana mana hao wabunge wapumbavu walijua wanakuja bungeni kutawala ss wamepatikana wamelutana na chuma cha pua.

Hivi kwa akili yako duni unaweza mfananisha Anne makinda na chuma cha pua kama si kukosa uwezo wa ku-rate mambo? Kama huna point unaweza kusoma to comments za wenzako sio lazima utoe pumba humu.
 
Dada yangu mbona kila jambo liko wazi, au hutaki tu kuelewa? Kesi iliyoko mahakamani haihusu mauaji ya Nyamongo hata kidogo, bali matukio yaliyofanyika Tarime mjini. Kwa hiyo mauaji ya Nyamongo hayana kesi yoyote kwa sasa, na kama unadhani Mheshimiwa Spika alikuwa sahihi na vipi kuhusu alivyosema Esther Matiko anakabiliwa na kesi wakati hana kesi yoyote katika mahakama ya Tarime? Jamani hata kama ni wafuasi au wapenzi wa chama tawala pale kwenye ukweli tuwe wakweli tu ndipo tutaweza kuiendeleza Tanzania.

Halafu unamshauri Lissu asuse nini? Mbona njia aliyotumia ndiyo sahihi ambayo inaendana na kanuni za bunge? Hebu tuwe wazalendo kwa nchi yetu jamani.

Eric Samba huyo dada muache kama alivyo. Hayo aliyoyaandika anatimiza wajibu wake ili angalau watoto waende msalani. Hutashangaa ukisikia kuwa hata yeye haamini hayo aliyoyaandika. Tulishawahi kuaswa na wanajamvi wenzetu kuwa tuwapuuze hao. Sio yeye tu yuko na wenzie wakina maralia sugu. Ukikuta mada we changia tu usimfuate mwenzio katumwa huyo. Jaman na wanajamvi wengine hao watu tuwapotezee tu pamoja ya kuwa ni vigumu kufanya hivyo.
 
Huyu spika mara nyingi anaongea kabla ya kutafakari. Kumbuka alivyowatukana watu wa Kariakoo.
 
Lissu kama mwanasheria anashangaza sana. Sasa mara aseme yeye yuko mahakamani kwa kesi inayohusu hao waliouiliwa Nyamongo halafu alaume Spika hakutenda haki kuzuwia yasiongelewe. Hivi ananini huyu? Ili mradi alalamike tu?

SI asuse kama anaona hatendewi haki? Asuse na kwenda mahakamani pia (Spika sikasema yuko nje kwa dhamana? Au alidanganya hapo Spika). Lissu susa kwenda mahakamani halafu muulize Mbowe zile siku mbili alilaa kitandani? Sakafuni au juu ya desk? Alipokaidi kwenda mahakamani?
Kuwa na kesi mahakamani hakumaanishi mtu huyo haruhusiwi kushiriki maendeleo ya taifa kama mtu huru. Sheria ya Tanzania inatambua haki hiyo na ndiyo maana mtuhumiwa yeyote anahesabiwa hana kosa mpaka mahakama itakapotoa uamuzi kama ana kosa. Kuhusu spika wetu, ni dada yetu na wengine mama yetu, uongozi umemshinda na anaharibu Bunge linakosa ladha machoni pa jamii. Si kwa kuwa anatuhumiwa kuwalinda 'CCM' bali hafuati kanuni anafuata hisia zake. Hata hivyo naona wewe unashindwa kuwianisha mambo, suala la yeye kukataa kuhudhuria mahakamani na maswali ya Bungeni sioni uhusiano labda lengo lako ni kupoteza mantiki ya hoja iliyopo.
 
Back
Top Bottom