Taarifa ya Lissu kwa vyombo vya habari kuhusu Spika wa Bunge

Mheshimiwa Spika: Naomba ujue kuwa itafika wakati wapenda Maendeleo watasema enough is enough. Ngumi zitatembea mjengoni na hapo ndo itabidi ujipime kama kweli unaweza kuongoza
 
Huyu mama anamatatizo ya kufikra. Akili imeganda kwenye friji ya ccm na sasa hajui la kufanya. Wakati alipoulizwa swala la mauaji ya Arusha, alijua kabisa kuna kesi walioshtakiwa akina Mbowe na wenzake. Sasa ameulizwa mauaji ya Nyamongo anasema swala liko mahakamani na eti washtakiwa wanakesi za kujibu! Kwani Mbowe na Lema hawakuwa na kesi za kujibu? Mbona aliruhusu swali kujibiwa? Huu ni unafiki wa wazi kabisa!
 
naomba tuelimishane kidogo kuhusu hii kamati ya kusimamia kanuni za kudumu ya bunge, wahusika wanapatikanaje? tusije tukawa tunazunguka round about...ni vyema tukatizama indepency yao imekaa vipi kabla ya kutegemea maamuzi yao

Anayosema Mh. Lisu ni sawa lakini atofautishe uanaharakati na ubunge, kwa taarifa hii amewapa nafasi ya kujipanga wajibu mapigo. Laiti kama angeyatoa bungeni na kuwashangaza ingelipa.

Hii sio sawa na kesi ya Nyani kumpelekea mtukufu hakimu Ngedere? Maana kwenye kamati ya kudumu ya kanuni za bunge CCM ni majority. Hata hivyo, kuna advantage kwamba bila kujali maamuzi ya kamati, atajitahid kubadilika maana sasa amewekwa peupe-kila mara watu watakuwa wanayapima au kuyatilia shaka au kuhoji maamuzi yake.

Hili ni fundisho kwetu kama waTZ, kama tunataka kuendelea, hatuwezi kufanya jinsi,rangi, kabila na dini kuwa kigezo cha kwanza ktk kumpatia mtu kazi ya umma. Kama ishu ni mwanamke,naamini kuna wanawake wengine wengi tu wenye elimu na uzoefu wa kutosha kuendesha bunge letu. Hata mtu wakawaida anaweza kuwa amegundua kuwa mara nyingi Mama Makinda ana-crack (hasira na maamuzi ya kukurupuka kama suala la Lema). Hatukutakiwa kurudi chini kiviwango kiasi hiki, hasa baada ya uspika wa Sitta ambao ulilifanya bunge kuwa la wananchi wote na sio la wazee kama kipindi cha Msekwa.

Hapo ambapo Lissu anasema wanapeleka malalamiko pako huru kiasi gani?kama ina watu mfano wa makinda wengi haki haitapatikana.
Labda tutumie kanuni ya wanchi namba moja ambayo mimi naiwakilisha hivi,mbunge yeyote au spika au kiongozi yeyote atakayeshindwa kutetea maswali ya watanzania akiwa ndani ya bunge akija uraiani azomewe kila atakapoenda mpaka atakapoomba msamaha,nimepunguza ukali kidogo hapa,au tuseme apigwe mawe!

Nadhani kupereka malalamiko huko ni sawa na vyema maana pia itatupa picha halisi wapi pakuanzia Uchaguzi ujao! Maana pamoja na kufikiria yote hii itatupa nafasi ya kuhakikisha uchaguzi ujao hakuna Mbunge wa CCM katika viti vyote vya bara.

Lakini pia nilikuwa nafikia enzi za UDSM tulikuwa na msemo mmoja uanitwa
'Impeachment' mara nyingi ulikuwa ukisikia, hapo ujue lazima Rais wa Daruso ang'oke au asalim amri ya Umma wa wanafunzi, sasa hakuna utaratibu unaruhusu hilo! hapo Dodoma, inamaana akishachaguliwa kichaa yoyote basi mpaka afe!

Mbona itakuwa hatari sana kama ni hivyo! Ila Bado tunatakiwa kudai katiba hata kwa damu.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
KAMA HAKI SAWA ANA HATUMTAKI, INA MAANA NCHI HII AINA WAMAMA SHUPAVU WAKALIONGOZA BUNGE? MIM NATAKA WAZEE WATAIFA HILI NA WASOMI TUMWAMBIE KWA VITENDO, TUANDAMANE NCHI NZIMA KUMPINGA, MIM NAAMIN KWA KILA MPENDA MAENDELEO NA MWANA DEMOCRASIA AWE KAMBI YA UPINZAN AMA CHAMA TAWALA HAWEZI KUKUBALIANA NA MWENENDO MZIMA WA UONGOZAJ WA BUNGE, CC IMEKURUPUKA KTK HILI KUMPA LIMBUKEN WA MAWAZO NA UWONGOZ CHOMBO KIZITO KAMA HICHO. NILAZIME AJUWE KILA JAMBO ANALO FUNIKA KTK BUNGE HILI LENYE HAK NA MASILAH YA WANYONGE, NDIVYO NAYEYE ATAKAVYO FUNIKWA, NYOTA YAKE HAITOKUWEKO,HATOKUBMBUKWA WALA KUJALIWA POPOTE PALE KTK NCHI HII KAMA ALIVYO TUFUNIKA WA TANZANIA. Mim KWA UCHUNGU KABISA NASEMA ANG'OLEWE KWA JINSI YEYOTE ILE,TAFADHAL TUONDOLEEN HUYU MTU,B4 MUNGU AJAMUONDOA. Mungu IBARIKI TANZANIA MUNGU WABARIK WATANZANIA. UKAWAPOTEZE HAWA MAJAMBAZ WA RASILIMAL ZA TAIFA HILI KATIKA VILINDI VYA BAHARI YA SHAM. Amen.
 
CCM walipiga hesabu vibaya kumpa Makinda kazi ya Uspika. Bunge hili limejaa wanaharakati wa mabadiliko wakati Spika ni Mhafidhina (Conservative). Walipaswa kumpa kazi hii mtu moderate au mwanarakati kama Sitta. Hata hivyo, ni wakati mzuri kwa upinzani na wapenda mabadiliko kuonyesha udhaifu huo wa CCM na ku-gain more grounds, ready for 2015
 
hivi kwanini kama watu waliochoka na maisha au walioathirika wasitusaidia kumuua spika huyu...........
 
kwa raha zake makinda ata mkimtoa keshaweka historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa speaker!
Kwake yeye mission accomplished so tutabaki tunaumiza kichwa

ni kweli keshaweka historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa speaker lakini atakuwa ametupa wakati mgumu wa kudhani wanawake wanauwezo wa kushika cheo kikubwa kama hicho. Kwa kweli kawaangusha wanawake na kawatia aibu. Sorry kusema hivyo
 
Bunge limepoteza mvuto kwa sasa, maana linaendeshwa kishabiki sana chini ya huyu mama, anashusha hadhi ya bunge
[/color]
ni kweli keshaweka historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa speaker lakini atakuwa ametupa wakati mgumu wa kudhani wanawake wanauwezo wa kushika cheo kikubwa kama hicho. Kwa kweli kawaangusha wanawake na kawatia aibu. Sorry kusema hivyo
 
Lissu kama mwanasheria anashangaza sana. Sasa mara aseme yeye yuko mahakamani kwa kesi inayohusu hao waliouiliwa Nyamongo halafu alaume Spika hakutenda haki kuzuwia yasiongelewe. Hivi ananini huyu? Ili mradi alalamike tu?

SI asuse kama anaona hatendewi haki? Asuse na kwenda mahakamani pia (Spika sikasema yuko nje kwa dhamana? Au alidanganya hapo Spika). Lissu susa kwenda mahakamani halafu muulize Mbowe zile siku mbili alilaa kitandani? Sakafuni au juu ya desk? Alipokaidi kwenda mahakamani?

Faiza Fozy=bibi kiroboto=malaya wa mawazo.
Hajui anachokitetea wala hajui anachopinga. Lissu ana kesi mahakamani lakini haihus jambo ambalo liliulizwa. Hilo Tundu Lissu amelieleza,soma maelezo yake. Hata kama Nepi kakupa kazi wewe Faiza, tumia akilia yako isitumiwe na watu wengine.
 
Lissu kama mwanasheria anashangaza sana. Sasa mara aseme yeye yuko mahakamani kwa kesi inayohusu hao waliouiliwa Nyamongo halafu alaume Spika hakutenda haki kuzuwia yasiongelewe. Hivi ananini huyu? Ili mradi alalamike tu?

SI asuse kama anaona hatendewi haki? Asuse na kwenda mahakamani pia (Spika sikasema yuko nje kwa dhamana? Au alidanganya hapo Spika). Lissu susa kwenda mahakamani halafu muulize Mbowe zile siku mbili alilaa kitandani? Sakafuni au juu ya desk? Alipokaidi kwenda mahakamani?
Wewe mwanamke nenda shule ukasome si kubwabwaja tu.
 
Bora Anne Makinda billion moja kuliko huyu kilaza.
Lissu kama mwanasheria anashangaza sana. Sasa mara aseme yeye yuko mahakamani kwa kesi inayohusu hao waliouiliwa Nyamongo halafu alaume Spika hakutenda haki kuzuwia yasiongelewe. Hivi ananini huyu? Ili mradi alalamike tu?SI asuse kama anaona hatendewi haki? Asuse na kwenda mahakamani pia (Spika sikasema yuko nje kwa dhamana? Au alidanganya hapo Spika). Lissu susa kwenda mahakamani halafu muulize Mbowe zile siku mbili alilaa kitandani? Sakafuni au juu ya desk? Alipokaidi kwenda mahakamani?
 
Lissu kama mwanasheria anashangaza sana. Sasa mara aseme yeye yuko mahakamani kwa kesi inayohusu hao waliouiliwa Nyamongo halafu alaume Spika hakutenda haki kuzuwia yasiongelewe. Hivi ananini huyu? Ili mradi alalamike tu? SI asuse kama anaona hatendewi haki? Asuse na kwenda mahakamani pia (Spika sikasema yuko nje kwa dhamana? Au alidanganya hapo Spika). Lissu susa kwenda mahakamani halafu muulize Mbowe zile siku mbili alilaa kitandani? Sakafuni au juu ya desk? Alipokaidi kwenda mahakamani?
Wewe leo haujaenda Kimboka pale Buguruni? Wateja wako watakuwa wamepata tabu sana!! Look,ths is a forum exclusive for great thinkers!! Lissu is one of the greatest legends of ths land!!!
 
yaani huyu mama anajiamini nini?au anafikiri atakaa kwenye kiti hicho milele?
 
Inakatisha tamaa!!inaoneka wazi kuwa yuko kimaslahi ya chama mbele ya dola,,
 
Bunge limepoteza mvuto kwa sasa, maana linaendeshwa kishabiki sana chini ya huyu mama, anashusha hadhi ya bunge
kweli mkuu hata ile hamasa ya kusikiza imeisha hasa ukijua kabisa hili swali speaker atajibu nini, hoja za msingi zinatupwa kapuni eti wanashikilia kuongelea posho tu
 
Spika wa Mafisadi,tutarajie kipi zaidi ya kufanya kazi za mafisadi..Hii ndio staili waliyojiandaa kuitumia maana hoja hawawezi..Wanachoweza kusema ni posho ziko kikatiba,ooh umaarufu wa kisiasa..upuuzi mtupu,Hii nchi hapa tulipofika hakuna mabadiliko..na hawa mafisadi wtataka kuendelea kuiba kura milele na milele maana nani atakayewachagua kwa huu upupu wao..Na kama hatutakuwa tayari kuwatoa kwa Egypt staili basi nawaambia hata wote tumchague Slaa kuwa raisi watamtangaza mtu wao tu kuwa Raisi,kama vipi tukae tayari,wanainyonya nchi wameona tamu na hawataki kuiachia..Full Usanii na mauza mauza
 
kwa hiyo ulifurahi mbowe alivyokamatwa soma vizuri ndio uchangie sio unakurupuka na ngoja tuchukue nchi tunawatoa wote mliwekwe kazini na wajomba na mashemeji wakati uwezo mdogo jiandae kwenda shulei
Lissu kama mwanasheria anashangaza sana. Sasa mara aseme yeye yuko mahakamani kwa kesi inayohusu hao waliouiliwa Nyamongo halafu alaume Spika hakutenda haki kuzuwia yasiongelewe. Hivi ananini huyu? Ili mradi alalamike tu?

SI asuse kama anaona hatendewi haki? Asuse na kwenda mahakamani pia (Spika sikasema yuko nje kwa dhamana? Au alidanganya hapo Spika). Lissu susa kwenda mahakamani halafu muulize Mbowe zile siku mbili alilaa kitandani? Sakafuni au juu ya desk? Alipokaidi kwenda mahakamani?
 
Back
Top Bottom