Cio kuogopa jbu mana najua utataka kujtetea kwa kuongea maneno ya maudh kama hayo ambayo ushaanza bila kuangalia kwamba uz una unamaudhui gan coz m one of greatthinker n thinkerz na kujsajr kwenye jf coz ya kua greatthinker bal n kuongeza idad
hosooyn unadhani humu wote formsix wengine std seven wengine certificate hahahahahahahahahahahahahahhahahaMtoa hoja ameongea vizuri:ila wadau wengi wana ubinafsi kias kwamba wanafanya forum iwe kama ina stratification,sio mzuka fanyeni mambo kisomi-
hosooyn unadhani humu wote formsix wengine std seven wengine certificate hahahahahahahahahahahahahahhahaha
Nadhani utakua ni uungwana tukiweka thread moja ambayo itakua Sticky na itumike kwa post zote za TCU na HESLB.
Awadh Mabaraza ni vema ukaficha ujinga wako, sidhani kama kuna mtu ana hamu ya kuusikia.