Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Kwanza kabisa nawaomba radhi kwa kuweka kitu tofauti na maudhui ya jukwaa, lakini imenibidi kufanya hivi ili kuokoa jukwaa letu tukufu.
Siku za hivi karibuni wameibuka wadau ambao wanamlengo wa kushusha hadhi ya jukwaa kwa Thread zao zisizo na tija. Mfano mtu anaandika Helloooo then ukifungu hukuti kitu, au mwingine anaweka heading ya TCU NEWS, BREAKING NEWS, TCU WATOA MAJINA. NA HEADINGS NYINGINEZO ZENYE KUAMSHA HISIA. LAKINI UKIFUNGUA HUKUTI CHOCHOTE CHA MSINGI.
Pia kuna wenzetu wenye tabia ya kuweka Thread ambazo tayari zipo, pia nadhani si uungwana.
Ndugu zangu katika kulinusuru jukwaa hili ni vema utakapo kutana na thread za namna hii kuireport kwa mods ili iondolewe na si kuendelea kuicomment.
Pia thread hizi zinatia hasira nakupelekea BAN kwa baadhi ya wajumbe.
NAPENDA KUOMBA RADHI KWA MARA YA PILI KWA KUIWEKA POST HII MAHALA HAPA.
AHSANTENI.
Siku za hivi karibuni wameibuka wadau ambao wanamlengo wa kushusha hadhi ya jukwaa kwa Thread zao zisizo na tija. Mfano mtu anaandika Helloooo then ukifungu hukuti kitu, au mwingine anaweka heading ya TCU NEWS, BREAKING NEWS, TCU WATOA MAJINA. NA HEADINGS NYINGINEZO ZENYE KUAMSHA HISIA. LAKINI UKIFUNGUA HUKUTI CHOCHOTE CHA MSINGI.
Pia kuna wenzetu wenye tabia ya kuweka Thread ambazo tayari zipo, pia nadhani si uungwana.
Ndugu zangu katika kulinusuru jukwaa hili ni vema utakapo kutana na thread za namna hii kuireport kwa mods ili iondolewe na si kuendelea kuicomment.
Pia thread hizi zinatia hasira nakupelekea BAN kwa baadhi ya wajumbe.
NAPENDA KUOMBA RADHI KWA MARA YA PILI KWA KUIWEKA POST HII MAHALA HAPA.
AHSANTENI.