Better late than never, na heri nusu shari kuliko shari kamili.
Hii statement imeanza vizuri lakini naona kama imeishia njiani. Bado alitakiwa atoa paragraph ya mwisho (hitimisho) inayo - withdraw maneno yake na kuwataka watanzania wasikwazike.
Nassari kama unapitia hapa, anayekushitaki ni Nape na wapambe wake, na wanakushitaki kwa umma wa Tanzania. Hivyo wewe ulitakiwa uandike statement inawayotaka watanzania kutokwazika na maneno yako na uoneshe 'sincerity' kwamba umeyaondoa. Usizunguke kusema 'watu wanataka kupotosha' maana kutoposha maneno ya CHADEMA is what Nape does for a living. Wewe focus on what you have to do, and that is, to withdraw maneno 'tata'
Hata hivyo, ni mwanzo mzuri na inatia moyo kuona mwanasiasa anakubali udhaifu. Hili ndilo tumekosa kwa ccm. So next (I hope there won't be next) deal with the shortfall regardless mpinzani wako anasemama nini. Tusonge mbele.
Hii statement imeanza vizuri lakini naona kama imeishia njiani. Bado alitakiwa atoa paragraph ya mwisho (hitimisho) inayo - withdraw maneno yake na kuwataka watanzania wasikwazike.
Nassari kama unapitia hapa, anayekushitaki ni Nape na wapambe wake, na wanakushitaki kwa umma wa Tanzania. Hivyo wewe ulitakiwa uandike statement inawayotaka watanzania kutokwazika na maneno yako na uoneshe 'sincerity' kwamba umeyaondoa. Usizunguke kusema 'watu wanataka kupotosha' maana kutoposha maneno ya CHADEMA is what Nape does for a living. Wewe focus on what you have to do, and that is, to withdraw maneno 'tata'
Hata hivyo, ni mwanzo mzuri na inatia moyo kuona mwanasiasa anakubali udhaifu. Hili ndilo tumekosa kwa ccm. So next (I hope there won't be next) deal with the shortfall regardless mpinzani wako anasemama nini. Tusonge mbele.