Taarifa kwa Chama cha Madaktari MAT kuhusu Dr.Ulimboka

Tunamfunika Dr. Ulimboka kwa damu ya Yesu iliyo mwagika pale Kalvary. Tunazifunga nguvu za giza, roho za chuki, roho za uhasama, roho za visasi, roho za ikulu na roho za usalama wa taifa, zishindwe kabisa kwa jina la Yesu.
Amen

gILESi,
Amen and amen. Praise the Lord! Wakristo wanasema kama kuna silaha iliyo kuu sana duniani basi ni MAOMBI!
Inabidi kwa kweli pamoja na ulinzi wa kawaida maombi ni muhimu sana. Ubarikiwe
 
2. Kama mnakubali MKASA wa Dr. Ulimboka ni sawa na water gate. Basi MAT inabidi mratibu mpango wa kuchangisha pesa kwaajili ya kuwaleta SCOTLAND YARD ili watufanyie uchunguzi usio acha hata punje ya shaka. Tumuachie Kova na Ikulu waendelee na hiyo kangaroo tume yao. And you know report hizi mbili zikitoka unajua ni ipi itaaminiwa na wannachi.
Ikiwa Mabwepande itawazuwia kuingia nchini hao Scotland Yard, FBI, Mossad, KGB, watafanya vipi uchunguzi huo?
 
acheni ujinga bwana, kuna mwanadamu anayeweza kumlinda ulimboka? hakuna....hata akiwekewa walinzi wa kumsindikiza hadi chooni kama watu wameamua kuvubua watamubatua tu....cha muhimu, kwasababu yeye ni mwanadamu mwenzangu, nasema alindwe na Mungu, na si wanadamu....kuna kipindi mimi nilikua naiamini sana bastola yangu niliyokuwa natembea nayo, hapa juu ya paja hadi paliota sugu ya bastola....siku moja bwana nikapambana na majambazi ya kirundi kule kigoma....sikuamini macho yangu kwasababu kila nikipiga smg nalenga kifuani, zinadunda tu. tukawakamata wote, tukawafunga pingu, nikawaweka mbele yangu kutaka kujaribu tena, nikapiga risasi hadi zikaisha hakuna hata moja iliyoingia, zinagonga tu nguo zao alafu zinadondoka chini....amini usiamini hii ipo...ikatokea tukawapa kichapo tu, tukawavua nguo zote tukawaachia waende, kumbe mle kwenye nguo ndo ulikuwa uchawi wao bwana...hahaha, risasi ziliingia zote...baada ya hapo niliomba uhamisho haraka nikahamia mwanza...manake yalikuwa maajabu yangu ya kwanza kuona kumba hata kale kabastola nilikonako watu kama hawa wangeamua wangekanyangánya tu kwasababu kwangu zingeingia risasi na kwao haziingii....bahati tu ni kwamba wao waliishiwa risasi.

ninachotaka kueleza ni kwamba....uwe na bunduki, uwe na mabodigadi etc, wanadamu wakiamua kukufutilia mbali wanaweza kufumba na kufumbua. cha muhimu ulinzi wa kuaminika ni ulinzi wa Mungu aliye juu tu.

Haueleweki! Ebu funguka zaidi! Unakamata wahalifu unawafunga pingu then unawashoot in a close range kuwauwa??? Unyama gan tena huu! Ww hautakuwa mtanzania!
 
Afanye press conference hili aweke kumbukumbu sahii maana najua makachero watakuwa bado wanamuwinda hili kupoteza ushaidiii
vita hii tutashinda t 2015 cdm
 
Katika madai yote 17 ya madaktari ni moja tu ambalo halihusiani na mapato kwao binafsi. Hakuna kinachohalalisha kusherehesha mgomo wa madaktari. Siasa ndio chanzo na jana tuliona magwanda yakimpokwa airport, sasa tunataka Arudie, atajuwa hii nchi inatawalika au haitwaliki. Na wale wanaodhani kuwa hii nchi haitatawalika kwa migomo na kususa waelewe kuwa hata wao hawataitawala. Waache madaktari wafanye kazi zao na asiyeweza aache na aondoke,

Hakuna mjivuni ambae anaweza kuweka rehani wagonjwa wetu halafu tumuone huyo ni mtu wa maana, kwa vyovyote vile.

Waliompa kichapo walifanya kazi nzuri sana na kama hajapata adabu akumbuke, kila action ina reaction. Ukila dawa ya kuharish utegemee nini?

Ukiweka wagonjwa rehani utegemee nini> simpo, nawe uwe mgonjwa na ndicho kilichompata, Sasa aendelee na porojo oooote lakini asithubutu kuitisha mgomo wa madaktari tena, maishani mwake, hilo halivumiliki.

Siasa, porojo, kudai haki kwa njia zote ni ruksa na zina mipaka yake, hana haki ya kuivuka hiyo mipaka na kuitisha mgomo wa madaktari na hiyo ndio shria na mpaka mahakama imeamuwa hivyo.

Unauliza kwanini madaktari wanamsikiliza? hujasoma kuhusu kina Jim Jones na kina Kibwetere na wengine? hutokea mashetani kama huyu Ulimboka wakawa na uongo mzuri sana wa kuwafanya watu wawasikilize, na mara nyingi kama hatua za haraka hazijachukuliwa watu kama hawa huleta madhara makubwa sana duniani.

Kipi zaidi kilichomfanya asikae mezani na kuzungumza? kuna tatizo likatatuliwa kwa kuweka rehani roho za watu? huo ni u terrorist wa hali ya juu, nashangaa sana mpaka sasa hajahukumiwa kifo.

Narudia, waliomtandika wamefanya kazi nzuri sana, na nna uhakika hatowasahau maisha yake.

Kwanza inapaswa umkemee sana huyu Ulimboka kama una hata chembe ya ukweli katika nafsi yako, jiulize, kuna mgomo unaotatuliwa bar saa tano za usiku?

Nawashangaa sana mnapoongela haki wakati haki ya kwanza duniani ni ya kuishi na huyu ameweka rehani maisha ya wagonjwa kibao kwa matakwa yake binafsi au ya wanao mtuma.

Atarudia?

zomba,

You sound like one of those killers!!!

Maneno yako yanasikitisha sana tena sana. Lakini ujue tu kwamba kama wewe ni sehemu ya mtandao huo wa kujaribu kuwadhulumu Watanzania haki zao kwa kuwanyamazisha kwa lazima siku inakuja mtajutie udhalimu wenu!

Jaribu kutumia simple reasoning and common sense ya kuzaliwa kwamba,tangu Dr. Ulimboka atekwe na kusulubiwa ni vifo vingapi vimezuiwa kutokea? Je, kuna watu wangapi wamekufa kwa kukosa huduma bora ikiwemo vifaa muhimu k.m. Tscan,Ultra sound,X-rays,vitendanishi,madawa n.k.?

Siyo sahihi hata kidogo kuweka blames zote kwa Dr. Ulimboka ati kwa vile alichochea mgomo. Lazima ujue kwamba kila KIFO KINACHOTOKEA HAPA NCHINI NI MAKOSA NA UZEMBE WA SERIKALI dhaifu unayoitetea! Ni mara ngapi tumesikia kina mama wajawazito na wagonjwa wengine wakifa kwa kuambiwa kuwa AMBULANCE HAINA MAFUTA?

Jaribu kuwa mkweli na uache unafiki na ushabiki wa kinazi. Wewe ni shuhuda kwamba kwenye hospitali na zahanati zetu mara ngapi umeambiwa ukanunue gloves,bandage,dawa fulanifulani ambazo mtu wa Pharmacy atakuwa amekuandikia O/S? Unless uniambie kuwa wewe ni sehemu ya mfumo au mtandao wa serikali hii ya kidhalimu ambayo viongozi wake wote wakiumwa hata MAFUA tu wanaenda China,India,Ujerumani na kwingineko kupata matibabu.

Nakushangaa unaposhabikia kipigo alichopata Dr. Ulimboka na siyo kipigo tu baali kifo kilichokuwa kimekusudiwa kwake hata hivyo Mungu aliepushia mbali. Kwanza unatakiwa ujue MGOMO kwa mfanyakazi yeyote na wa idara yoyote ni haki yake ya msingi Kikatiba. Inashangaza kuona kwamba Serikali hii dhalimu inaona migomo ni kosa la jinai kwa vile tu imeshindwa ku-address matatizo ya Wafanyakazi.

Hapana shaka Serikali hii imejizolea sifa ya udhaifu kwa kukimbilia mahakamani kila inaposikia kuna migomo ya wafanyakazi. Badala ya kukaa mezani na wahusika inazuia migo kwa Mahakama au vitisho vya kuwapiga na kuwaua Wafanyakazi hasa viongozi wa vyama vya Wafanyakazi. Huu ni udhaifu mkubwa unaoonyesha kuwa serikali imeshindwa kuwajibika kwa raia wake.

Nahitimisha kwa kusema kwamba udhalimu unaofanywa na serikali kwa Wafanyakazi wake wanaodai haki zao hauna muda mrefu wa kuendelea. Wewe endelea kutetea,kushabikia na kuendekeza ujinga wa Serikali dhalimu na dhaifu,your days are numbered.
 
Hujui nini maana ya Mgomo.... Pole Sana Mgomo ni sehemu ya Kufikisha Ujumbe uliokataliwa kusikilizwa Na ni haki kikatiba jf utapata elimu ya kutosha... na ujue zomba ni kigeugeu na inasemekana ndie mkulu mwenyewe... jua kuwa anapenda sifa za kijinga na hapo umemkoleza balaa anaweza kukupa hata u DC Ukimsifia...

Hiyo Riport ya vifo vipi? sikiah... Madaktari hawazuii kifo hilo jua kwanza ndio maana ikifika kwenye steji ya operation kuna wanao sign juu ya kifo chako na si daktari. Dr Ulimboka aliamua kufa kwa kusaidia sekta ya Afya Nchini na MAtunda yake utayaona tu baadae.. na Atakumbukwa tu kama Wapigania Uhuru wa Nchi... Mandela alishawahi itwa Gaidi na Makabulu na sasa wanamuita father of Nation....

Nikisema huwa naongea na mapunguani wengi JF lakini wewe ni mshika bendera ya kuongoza ntakuwa nimekosea?
 
Ninaunga mkono hili la kuwapa kazi wachunguzi wa kimataifa waliobobea (Scotland yard). Kwa utata uliopo tusitegemee kupata taarifa/mapendekezo/maamuzi yasiyo na shaka kutoka kwenye hii tume ya Kova ama Mahakama zetu zinazochakachuliwa kila kukicha.
Wazo zuri ila unafikiri wafuasi wa kile chama cha msitu wa MABWEPANDE watawaruhusu!!! inanikumbusha sakata la kifo cha Robert Ouko na jinsi mpelelezi wa skotland yard alivyofukuzwa kabla ya kumaliza kazi na TROTCHI ARAP MOI. Hii ilikuwa ni wakati alipokarikibiwa kumtaja mkuu wa NCHI. M4C ni JIBU kuu.
 
zomba,

You sound like one of those killers!!!

Maneno yako yanasikitisha sana tena sana. Lakini ujue tu kwamba kama wewe ni sehemu ya mtandao huo wa kujaribu kuwadhulumu Watanzania haki zao kwa kuwanyamazisha kwa lazima siku inakuja mtajutie udhalimu wenu!

Jaribu kutumia simple reasoning and common sense ya kuzaliwa kwamba,tangu Dr. Ulimboka atekwe na kusulubiwa ni vifo vingapi vimezuiwa kutokea? Je, kuna watu wangapi wamekufa kwa kukosa huduma bora ikiwemo vifaa muhimu k.m. Tscan,Ultra sound,X-rays,vitendanishi,madawa n.k.?

Siyo sahihi hata kidogo kuweka blames zote kwa Dr. Ulimboka ati kwa vile alichochea mgomo. Lazima ujue kwamba kila KIFO KINACHOTOKEA HAPA NCHINI NI MAKOSA NA UZEMBE WA SERIKALI dhaifu unayoitetea! Ni mara ngapi tumesikia kina mama wajawazito na wagonjwa wengine wakifa kwa kuambiwa kuwa AMBULANCE HAINA MAFUTA?

Jaribu kuwa mkweli na uache unafiki na ushabiki wa kinazi. Wewe ni shuhuda kwamba kwenye hospitali na zahanati zetu mara ngapi umeambiwa ukanunue gloves,bandage,dawa fulanifulani ambazo mtu wa Pharmacy atakuwa amekuandikia O/S? Unless uniambie kuwa wewe ni sehemu ya mfumo au mtandao wa serikali hii ya kidhalimu ambayo viongozi wake wote wakiumwa hata MAFUA tu wanaenda China,India,Ujerumani na kwingineko kupata matibabu.

Nakushangaa unaposhabikia kipigo alichopata Dr. Ulimboka na siyo kipigo tu baali kifo kilichokuwa kimekusudiwa kwake hata hivyo Mungu aliepushia mbali. Kwanza unatakiwa ujue MGOMO kwa mfanyakazi yeyote na wa idara yoyote ni haki yake ya msingi Kikatiba. Inashangaza kuona kwamba Serikali hii dhalimu inaona migomo ni kosa la jinai kwa vile tu imeshindwa ku-address matatizo ya Wafanyakazi.

Hapana shaka Serikali hii imejizolea sifa ya udhaifu kwa kukimbilia mahakamani kila inaposikia kuna migomo ya wafanyakazi. Badala ya kukaa mezani na wahusika inazuia migo kwa Mahakama au vitisho vya kuwapiga na kuwaua Wafanyakazi hasa viongozi wa vyama vya Wafanyakazi. Huu ni udhaifu mkubwa unaoonyesha kuwa serikali imeshindwa kuwajibika kwa raia wake.

Nahitimisha kwa kusema kwamba udhalimu unaofanywa na serikali kwa Wafanyakazi wake wanaodai haki zao hauna muda mrefu wa kuendelea. Wewe endelea kutetea,kushabikia na kuendekeza ujinga wa Serikali dhalimu na dhaifu,your days are numbered.

Nasema aliomtandika Ulimboka wamefanya kazi nzuri sana. Si unaona kawaambia kaeni kimya siku 40 ndio ataongea kwa sasa anaenda Bagamoyo.

Kwa hiyo wagonjwa wamngoje yeye siku 40, wakae wanakufa, mtetezi wao kaondoka? Nawashangaa mnapotetea uozo wa huyu mchumia tumbo. Mbona hamsemi mgomo unamalizwa leaders? saa tano za usiku?

Kwi kwi kwi teh teh teh!
 
Huo ndiyo upewa wako wa kufikiri,unayasema haya kwakua tu hapo ndipo unapopatia shibe yako lazima umtetee Bw wako,hata mbwa mzuri ni yule anayemlinda (mtetea) bw wake,hivyo naamini wewe ni mbwa mzuri sana,utalishwa vizuri utaogeshwa vizuri mwisho wa siku utakufa utatupwa tu kama mbwa wengine wanavyotupwa.
Kwa Histori ya dunia hii hakuna utawala wa kidhalimu unaoweza kudumu milele,na kumbuka pia kua utawala wowote dhalimu unapotumia nguvu kubwa (hata pale ambapo siyo lazima) ujue umekaribia kuanguka!

Semeni nyinyi, mgomo unamalizwa leaders saa tano za usiku?
 
Inafaa mumuulize Ulimboka alikwenda kutatuwa mgomo upi bar saa 5 za usiku kwa kupigiwa simu wakaongelee mgomo. Au mgomo wa tumbo?

Njoo na hoja nyingine basi jamani....kila thread maneno ni hayohayo tu? tupe mpya basi nyingine mzee :yawn:
 
Mkuu ushauri wako ni Mzuri lakini naomba nikukumbushe wewe na watanzania wenzangu Dr, Ulimboka alipata mateso haya kwa ajili ya Umma wa Tanzania tunaopata taabu tunaposhikwa na maradhi hasa tunapoenda Hospitali , tuache Unafiki kwamba madaktari walikuwa wanalilia Posho kubwa na maslahi mengi. ni ukweli usiopingika huduma katika hospitali zetu sio nzuri ndilo hasa dai la madaktari wetu akiwemo kiongozi aliyenusa kifo Dr,S. Ulimboka ushuri wangu kutokana na ujumbe huu Watanzania wote tushirikiane kumlinda kijana huyu kwa nguvu zetu zote bila kuwaachia Umoja wa Madaktari MAT jukumu hili kwani kijana huyu alijitoa muhanga kutetea madai yetu ambayo hayahitaji ushahidi wa maandishi ukitaka ukweli wa madai haya nenda Hospitali jionee mwenyewe. Wtz tumlinde kwa juhudi zetu zoooooooooooooooooooooooooooooooote.
 
Wasiwasi wangu ile sumu ya kutoka Urusi ya Pollonium 23 ilishaingizwa nchini siku nyingi, huyu Dr Ulinzi wake mkubwa kwa sasa uelekezwe kwenye vinywaji na chakula.

Huyo Zomba au Zombie msipate tabu naye ni sehemu ya wanafki ambao tunao hapa ili kufanya maisha yakamilike. Lakini cha kushangaza zaidi anaclaim kwamba amefunga Ramadhani kumbe anashinda na njaa bure.
 
Na sie Tunamshangaa Raisi kwa kutokulijuwa hili hadi Mgomo ukatokea nashangaa kwanini Raisi hajajiuzulu hadi leo hajui haki ya mtu ni kuishi. Maisha bora ndio haya??

Kabla ya Kikwete miaka 48 baada ya miaka yake saba 58.4, wa kabla yake walikuwa wapi? wamelala?
 
acheni ujinga bwana, kuna mwanadamu anayeweza kumlinda ulimboka? hakuna....hata akiwekewa walinzi wa kumsindikiza hadi chooni kama watu wameamua kuvubua watamubatua tu....cha muhimu, kwasababu yeye ni mwanadamu mwenzangu, nasema alindwe na Mungu, na si wanadamu....kuna kipindi mimi nilikua naiamini sana bastola yangu niliyokuwa natembea nayo, hapa juu ya paja hadi paliota sugu ya bastola....siku moja bwana nikapambana na majambazi ya kirundi kule kigoma....sikuamini macho yangu kwasababu kila nikipiga smg nalenga kifuani, zinadunda tu. tukawakamata wote, tukawafunga pingu, nikawaweka mbele yangu kutaka kujaribu tena, nikapiga risasi hadi zikaisha hakuna hata moja iliyoingia, zinagonga tu nguo zao alafu zinadondoka chini....amini usiamini hii ipo...ikatokea tukawapa kichapo tu, tukawavua nguo zote tukawaachia waende, kumbe mle kwenye nguo ndo ulikuwa uchawi wao bwana...hahaha, risasi ziliingia zote...baada ya hapo niliomba uhamisho haraka nikahamia mwanza...manake yalikuwa maajabu yangu ya kwanza kuona kumba hata kale kabastola nilikonako watu kama hawa wangeamua wangekanyangánya tu kwasababu kwangu zingeingia risasi na kwao haziingii....bahati tu ni kwamba wao waliishiwa risasi.

ninachotaka kueleza ni kwamba....uwe na bunduki, uwe na mabodigadi etc, wanadamu wakiamua kukufutilia mbali wanaweza kufumba na kufumbua. cha muhimu ulinzi wa kuaminika ni ulinzi wa Mungu aliye juu tu.

Afadhali umeyasema yote mwenyewe! Unaamini kuwa Dr. Ulimboka ni mapenzi ya Mungu yeye kuishi? mlikuwa na kila sababu ya kummaliza siku mlipompeleka Mabwepande, lakini Mungu alisema "NO!". Amini nakuambia, hata kama hatalindwa na Mungu hajataka hamtamfanya lolote! Mwambie na Zomba.
 
Mawazo yako ni mazuri lakini mie ningependa kutofautiana na wewe kidogo,kwanza ni lazima tuelewe inawezekana huyu Dr.anapambana na nguvu kubwa sana.


Lets say amewekewa ulinzi na MAT, hao walinzi watakaowekwa sidhani kama itasaidia sana maanake inawezekana kabisa hao walinzi ndio wakatumika kummaliza,utamweka nani amlinde?

Usisahau hao walinzi ni binadamu na inawezekana MAT wakawa wamewarahisishia hao maadui wa Dr.wakawatumia hao walinzi kummaliza.

Mie mawazo yangu ni kutokana na issue ya Dr. ilivyotokea na kuwa na utata. MAT imsaidie Dr.Ulimboka ajisalimishe ubalozi wa US au UK kuomba hifadhi, hapo uwezekano wa kumdhuru utakua ni mdogo.

Kuna wengine wamechangia hapo juu wanasema aite waandishi wa habari aeleze kila kitu ndio atapona,hiyo haitasaidia maanake kuna kesi inaendelea mahakamani na yeye ni shahidi no.one, lazima wamdhibiti asiende kutoa ushaidi
.
 
Wapambe wa kikwete watatuumiza vichwa, wao kwao ukweli ni ujinga na upuuzi, na mambo ya kipumbavu huyatetea na kusadikisha watu yawe kweli.

Na hapo ukifikiri sana unapata majibu jinsi wakenya wanapiga hatua katika nyanja zote ikiwemo afya na kutuacha midomo wazi.

Ni wapumbavu tu wanaweza kusimama na kutamka hadharani kwamba ni halali dr ulimboka kupigwa.

Ni wapumbavu tu wanaodhan madaktari wanaweza kutoa matibabu kwa kulazimishwa! Ile ni taaluma, hivyo itatolewa kwa ubora stahiki endapo mazingira yote kimaadili na heshima na taadhima yatazingatia mahitaji ya madaktari kwa maana ya vifaa tiba, majengo, usafiri na mishahara mizuri vivo hivyo kwa walimu na kinyume chake ni upumbavu wa serikali na wapembe pumbavu wasiowatakia walau nafuu kidogo waskin wakutupwa watanzania waliowengi.

Hebu serikali ituambie bila kuficha ni watanzania wangapi wanakufa kila siku kwa kupatiwa tiba za ovyo kwa kukosa vipomo sahihi?

Odinga alifanyiwa operation ya ubongo nchin mwake, je hawa wetu? India kila kukicha why?
 
zomba
Huo ndiyo upewa wako wa kufikiri,unayasema haya kwakua tu hapo ndipo unapopatia shibe yako lazima umtetee Bw wako,hata mbwa mzuri ni yule anayemlinda (mtetea) bw wake,hivyo naamini wewe ni mbwa mzuri sana,utalishwa vizuri utaogeshwa vizuri mwisho wa siku utakufa utatupwa tu kama mbwa wengine wanavyotupwa.
Kwa Histori ya dunia hii hakuna utawala wa kidhalimu unaoweza kudumu milele,na kumbuka pia kua utawala wowote dhalimu unapotumia nguvu kubwa (hata pale ambapo siyo lazima) ujue umekaribia kuanguka!

Wewe usiwe punguani, kuna dhalim zaidi ya anaemkosesha tiba mgonjwa? Ukiwa na mgonjwa wako kitandani, uwepo wako tu kuwa upo karibu yake ni faraja kubwa kwake ingawa wewe si daktari, seuse uwepo wa daktari? akimuona daktari tu anahisi kupona.

Halafu huyu shetani anaewarubuni wasione wagonjwa nyie mnamuona wa maana sana? Huyo ingekuwa nchi zingine hukumu yake ni kifo. Hapa si kakuta watu wanajidai kufata sheria za kijinga jinga.

Rushwa kifo, daktari akigoma kifo, mgonjwa akigoma kifo, hii ndio haki kwa kila mtu.

Aliyemtandika Ulimboka kafanya vizuri sana. Atarudia?
 
Wtz tumlinde kwa juhudi zetu zoooooooooooooooooooooooooooooooote.

Kwa bahati mbaya watanzania wengi umoja huo hawana. Ulijionea mwenyewe wengi walivyolaani kitendo cha Drs kugoma pasipo kujua kwa nini wamegoma. Ila si vibaya kuendelea kuwaelimisha juu ya hili 'otherwise a man of the people will turn to be an enemy of the people'
 
Na sie Tunamshangaa Raisi kwa kutokulijuwa hili hadi Mgomo ukatokea nashangaa kwanini Raisi hajajiuzulu hadi leo hajui haki ya mtu ni kuishi. Maisha bora ndio haya??

Miaka 58.4 life expectancy ya Mtanzania baada ya miaka 7 tu ya Kikwete madarakani. Kabla yake kwa miaka 44 na Marais watatu na mmoja wao katawala miaka 24 walituwacha Watanzania taabani na life expectancy ya chini ya miaka 48.

Nani aliyeleta maisha bora? fikiri!
 
Back
Top Bottom