johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,991
- 142,007
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Kigwangalla amesema aliacha Kazi ya Udaktari kwa sababu Mshahara ulikuwa mdogo.
Dr Kigwangalla amesema Baada ya kuusotea Udaktari kwa miaka 18 alijikuta analipwa tsh 126,000 kama Mshahara huku Dereva wa TRA akilipiwa tsh 360,000.
Kigwangalla amesema akiwa Rais wa Chama Cha Madaktari aliongoza Mgomo na Yeye na washirika wake wakatimuliwa na mzee Mkapa.
Source: Clouds Media
Dr Kigwangalla amesema Baada ya kuusotea Udaktari kwa miaka 18 alijikuta analipwa tsh 126,000 kama Mshahara huku Dereva wa TRA akilipiwa tsh 360,000.
Kigwangalla amesema akiwa Rais wa Chama Cha Madaktari aliongoza Mgomo na Yeye na washirika wake wakatimuliwa na mzee Mkapa.
Source: Clouds Media