Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Tanzania mpya yenye national spirit itapatikana kupitia Vita, cha kusikitisha ni kuwa Vita haitatokea sababu hao viongozi wenyewe hawapo tayari, maana ni wakati vita inaendelea huenda ukatokea uasi na vita nyingine ya ndani walengwa wakiwa ni wao na wote waliofaidika kupitia wao na mifumo yao mibovu waliyoiweka kwa makusudi.
Believe me, wanaimba ngonjera za vita lakini wao hawapo tayari kabisa, as you said si JWTZ pekee watakaopigana vita hii bali kila mtanzania kijana atahusika, hapo ndipo panawaumiza vichwa...maana kila penye keki ya taifa walitanguliza familia zao, marafiki, ndugu, mahawala mbele na maslahi binafsi yao binafsi....Je undhani watakuwa tayari kuwatanguliza mbele kwenda vitani?? Forget kabisa???
Nadhani turudi sasa kwenye ile mijadala mingine kama ile ya wanakamati wa kamati za bunge kujihusisha kuchukua rushwa n.k hili halijafika wala halitafika kwenye conclusions wanazoziimba....Malawi wenyewe mkononi wameshika Heligoland Treaty, wakati sisi tunahangaika kutafuta silaha zilipo...very funny.
Believe me, wanaimba ngonjera za vita lakini wao hawapo tayari kabisa, as you said si JWTZ pekee watakaopigana vita hii bali kila mtanzania kijana atahusika, hapo ndipo panawaumiza vichwa...maana kila penye keki ya taifa walitanguliza familia zao, marafiki, ndugu, mahawala mbele na maslahi binafsi yao binafsi....Je undhani watakuwa tayari kuwatanguliza mbele kwenda vitani?? Forget kabisa???
Nadhani turudi sasa kwenye ile mijadala mingine kama ile ya wanakamati wa kamati za bunge kujihusisha kuchukua rushwa n.k hili halijafika wala halitafika kwenye conclusions wanazoziimba....Malawi wenyewe mkononi wameshika Heligoland Treaty, wakati sisi tunahangaika kutafuta silaha zilipo...very funny.