Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,148
Nimekua nikijiuliza sana kuhusu mahusiano.
1. Dada ana mpenzi wana miaka,sio mume wala mwanaume hana mpango wa kuoa,
wanafanya kazi mikoa tofauti, ajabu mwanaume anampa mwanamke masharti ya kufika kwa mwanaume.
Dada akienda lazima atoe taarifa kabla na hata ukitoa taarifa sio kwamba lazima atakuruhusu, anaweza kusema usije nina wageni wa ofisini. Dada akienda wageni hakuna na ananuniwa
inabidi aondoke tu. Akirudi kwake mwanaume ndio analeta mapenzi na dada anapata amani kua alimkosea laaziz,hivi huyu mwanamke hapa huwa anang'ang'ania nini?
Kama hamjaoana hakujali, ndani ya ndoa si itakua balaa?
2. wapenzi wqanaishi mikoa tofauti, mwanaume aakienda mkoa anaoishi mpenziwe hamjulishi, dada anaambiwa na wanaomjua huyu kaka kuwa tumemuona,kaka akiulizwa anajibu nipo ila nina mambo mengi nitakutafuta. Kaka anamaliza kilichomleta hadi anaondaoka bila kumtafuta mpenzi wake,bibie akipiga simu kumuulizia kaka anajibu nimeondoka ilikua ghafla!!
Dada anaandaa safari kwenda kwa kijana na zawadi kafungasha, wakiwa kwa mwanaume mapenzi kunoga lakini kaka akienda mkoa anaoishi mdada anajificha.
Mdada anavumilia eti kweli kazi nyingi,jamani kweli au ndio mapenzi upofu?
3. Utakuta dada ana mpenzi ambaye siyo mume, siyo mchumba wala siyo baba mtoto.
Mwanaume ana visa na mbaya zaidi ni mpigaji hadi dada tunakupeleka hospitali lakini ukipona umerudi na style ya maisha ni ile ile kupigana.
Hivi hapa kinachomfanya dada huyu kuvumilia mateso na aibu hii ni nini? Na anavumilia ili aolewe au ndio kupenda?
Kama kweli mapenzi Upofu mbona visa tunavyotendwa tunaviona, TUNALALAMIKA,tunalia tunafuta machozi halafu bado tunajipa moyo, Hivi huwa nini kinatufanya tuendelee kuvumilia?
1. Dada ana mpenzi wana miaka,sio mume wala mwanaume hana mpango wa kuoa,
wanafanya kazi mikoa tofauti, ajabu mwanaume anampa mwanamke masharti ya kufika kwa mwanaume.
Dada akienda lazima atoe taarifa kabla na hata ukitoa taarifa sio kwamba lazima atakuruhusu, anaweza kusema usije nina wageni wa ofisini. Dada akienda wageni hakuna na ananuniwa
inabidi aondoke tu. Akirudi kwake mwanaume ndio analeta mapenzi na dada anapata amani kua alimkosea laaziz,hivi huyu mwanamke hapa huwa anang'ang'ania nini?
Kama hamjaoana hakujali, ndani ya ndoa si itakua balaa?
2. wapenzi wqanaishi mikoa tofauti, mwanaume aakienda mkoa anaoishi mpenziwe hamjulishi, dada anaambiwa na wanaomjua huyu kaka kuwa tumemuona,kaka akiulizwa anajibu nipo ila nina mambo mengi nitakutafuta. Kaka anamaliza kilichomleta hadi anaondaoka bila kumtafuta mpenzi wake,bibie akipiga simu kumuulizia kaka anajibu nimeondoka ilikua ghafla!!
Dada anaandaa safari kwenda kwa kijana na zawadi kafungasha, wakiwa kwa mwanaume mapenzi kunoga lakini kaka akienda mkoa anaoishi mdada anajificha.
Mdada anavumilia eti kweli kazi nyingi,jamani kweli au ndio mapenzi upofu?
3. Utakuta dada ana mpenzi ambaye siyo mume, siyo mchumba wala siyo baba mtoto.
Mwanaume ana visa na mbaya zaidi ni mpigaji hadi dada tunakupeleka hospitali lakini ukipona umerudi na style ya maisha ni ile ile kupigana.
Hivi hapa kinachomfanya dada huyu kuvumilia mateso na aibu hii ni nini? Na anavumilia ili aolewe au ndio kupenda?
Kama kweli mapenzi Upofu mbona visa tunavyotendwa tunaviona, TUNALALAMIKA,tunalia tunafuta machozi halafu bado tunajipa moyo, Hivi huwa nini kinatufanya tuendelee kuvumilia?