Mnyama Hatari
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 335
- 82
Ulichokisema ndicho nilichosema jana, hadi nikagive up; naona MH, ameona akutolee mfano wewe! LOL
Babu DC anaeleweka zaidi kuliko wewe. Labda hujui jinsi ya kujieleza vizuri ukaeleweka.
Na hakuna anayetaka ku-deflect blame. Kilichosemwa jana na kinachosemwa leo ni kwamba wote wanastahili lawama ingawa uzito na portion ya lawama vinatofautiana. Same thing with being an accessory to a crime.
It's not rocket science or complicated logarithm. Dark City gets it.