Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
DC
You are the best, next time nitakustua!
About kuzini, bado fafanua.
Nilivyokuwa A-level, nilitongozwa na mseminari mmoja hivi (shule yetu ilikuwa Jirani nao)
Nikamwambia kuwa unataka tuzini? Tuvunje Amri ya Sita?
Akaniuliza 'umeolewa?' nikasema no
Akaendelea, 'mimi nimeoa?' nikasema sidhani
Akasema 'hapo tutazini vipi?'
I was speechless kwa muda.
Years later when doing my confession, nilivyosema nimezini mara..... LOL, Fr, akaniuliza the same question; (nafikiri it was for the sake of councilling). Nikaja kumuuliza Mlokole mmoja; akasema if you are not married, unafanya uasherati na si kuzini!
So hapa bado mahitaji ufafanuzi!
nikaongea na mdada mmoja wa kilokole
Kaunga,
Pole kwa kuangukia kwenye taaluma za watu....Hayo maneno ni tofauti kabisa kwa sababu moja linamhusu mwanandoa na jingine linatumika kwa watu wasio na mahusiano.
Tatizo ni kwamba watu wa kawaida tunapata shida kutofautisha....
Hata mie nimeyachanganya mara nyingi tu!!
Hongera sana kwa kukumbuka biashara ya kitubio!!
Babu DC!!