Swali gumu. . . . . . .!!

Nasikia hata ukimtamani mwanamke ambaye hujamuoa
WAKRISTO. Bali hata yule amtazamaye mwanamke kwa kumtamani
amekwishakuzini naye moyoni mwake.

WAISLAMU: Jicho la kwanza halina kosa yaani ukiona usirudie tena
kama ni mke/ au mme mmepishana basi ukigeuka kumtazama
kwa kumtamani UMEZINI pia.

Sasa sijui wale wanaokumbatiana kwenye daladala inakuwaje maana wengine
mpaka wanaji........ eti mfadhaiko. Lakini mazingira yanasababisha hivyo maana
wengine wanakuwa na njaa ya siku nyingi.


Haya mambo siyo rahisi hata kidogo...tena ukiingiza philosophy inakuwa balaa!!

Vyovyote vile, kila jamii ina definitions zake zinazosaidia kuweka mipaka kati ya tamaa za hisia na matendo.

Kama tukichukulia hii mitazamo ya dini basi kuna watu watakuwa wamelamba shea ya kutisha sana....Imagine, wanawake wangapi wamefanya na mtu kama The great? Au wanaume wangapi watakuwa wamazini au kufanya uasherati wa hisia na baadhi ya warembo?


Babu DC!!
 
Pole sana,
Kama umesali vizuri na bado devil akakukaribia basi inabidi uombewe....
Omba tu msaada ili wenye upako wajitokeze kukupa support!!
Babu DC!!

DC una upako? I think kweli nahitaji deliverance!
 
kumbe basi hata ukiishi na mtu ambaye hamjaoana, ila mko waaminifu for each other, mtakuwa mnazini mpaka mwisho wa maisha yenu?
 
Mpaka sasa najiuliza sipati jibu. Sijui kwanini mzee na babu mwenzangu DC ameamua kuwapotosha wajukuu zetu kwa kiwango hiki. Ngoja kwanza niongeze Gines moja ya mwisho.
 
Mpaka sasa najiuliza sipati jibu. Sijui kwanini mzee na babu mwenzangu DC ameamua kuwapotosha wajukuu zetu kwa kiwango hiki. Ngoja kwanza niongeze Gines moja ya mwisho.

Ulevi nomaaaa!!
 
Mimi sijaelewa

Kucheat ni kudanganya kwenye mapenzi kwa watu walio mapenzi. Kwamba kucheat kunajumuisha uzinzi na uasherati. Kuzini ni kumega nje ya NDOA. Kwa kifupi kuzini kunahusisha wanandoa wakati kucheat haijalishi wenye ndoa au wachumba au bf vs gf. Nyosha mkono juu kama hujaelewa.
 
Back
Top Bottom