Mwanafalsafa,
Mkuu tafadhali... nilifikiria una ELIMU dunia kumbe nawe yale yalee...Hivi Queen Elizabeth wa Uingereza ana nafasi gani ktk kanisa la Kikristu?.. maanake unazungumzia Sultan wa saudi Arabia ambaye sisi hatumjui isipokuwa kwa Usultani wake. Unazungumzia Iran ambako huyo Komein anaweza kuja Tanzania na tukamtemea mate ni sawa na Mtikila au Kakobe happens to be a figure behind revolution. Unafikiria Vatican wanamtambua na kwa sifa gani?.. acheni uchinvi kama hamjui dini ya wenzenu msianze kupaka tope kila mnapojisikia. Vatican is a country inayoongozwa na Taasisi chini ya Pope and they practice Ukatoliki (Ukristu)..
Tanzania tulinyimwa mikopo kwa sababu tulikuwa Wakomunist, Socialist au Wajamaa.Tuli practice Ujamaa and that was who we were! -Unaweza kunambia kwa nini hatukusema haihusiani kwani Tanzania ni nchi, huo Ujamaa ni kitu kingine.
Mkuu tafadhali... nilifikiria una ELIMU dunia kumbe nawe yale yalee...Hivi Queen Elizabeth wa Uingereza ana nafasi gani ktk kanisa la Kikristu?.. maanake unazungumzia Sultan wa saudi Arabia ambaye sisi hatumjui isipokuwa kwa Usultani wake. Unazungumzia Iran ambako huyo Komein anaweza kuja Tanzania na tukamtemea mate ni sawa na Mtikila au Kakobe happens to be a figure behind revolution. Unafikiria Vatican wanamtambua na kwa sifa gani?.. acheni uchinvi kama hamjui dini ya wenzenu msianze kupaka tope kila mnapojisikia. Vatican is a country inayoongozwa na Taasisi chini ya Pope and they practice Ukatoliki (Ukristu)..
Tanzania tulinyimwa mikopo kwa sababu tulikuwa Wakomunist, Socialist au Wajamaa.Tuli practice Ujamaa and that was who we were! -Unaweza kunambia kwa nini hatukusema haihusiani kwani Tanzania ni nchi, huo Ujamaa ni kitu kingine.