eheheheh mie leo sijavaa hizo kufuli zenu....infact when am at home ni upepo moja kwa moja......anagalau aeration!
Safi sana my nai sis tena wewe mjamzito upepo muhimu sana kwako.
eheheheh mie leo sijavaa hizo kufuli zenu....infact when am at home ni upepo moja kwa moja......anagalau aeration!
tehe tehe uproto chupi kubwa ndio lipi na chupi ndogo ndio ipi? mbona kazi kubwa.
halafu mnavyosema kuwa hata mimi nimeliona hili? huwa mna maana gani? yaani mnaona mkiwa huko kwenye kufatakisha watoto wa wenzenu au kwa wake zenu?
hapana dokta,kuvaa kufuli muhimu,kisa gani kuwa kama masai.
Asset za gani? Asset kubwa ulimi. "Upepo ni dawa". Dr. Ndodi.
hehehe nimekusoma sasa hiyo frame umepata? ila masharti ya ofisi yetu ni night kali ndo muda wa kazi
Kuna mdada alivaa nusu uchi pale kkoo masela wakamalzia na ile sketi akabaki na chupi yake.
Sidhani kama aliludia tena kuvaa vile na kupita maeneo yale
wewe dada utakuwa mtatala sanaeeeh mi hata chupi huwa sivai napata full kipupwe so msinihesabie kwenye hiyo post mtakua mnanionea
hahaha....Rose umenikuna.atuelekeze basi hata kama gauni bila chupi tujue.ila naweza pata tatizo na hili wowowo nililonalo maana ........!
naskia na wanaume pia ni jambo zuri kiafya wasipovaa boxer zao,na wao pia wanahitaji upepo.hivyo wote tusivae tuwe safe.
naskia na wanaume pia ni jambo zuri kiafya wasipovaa boxer zao,na wao pia wanahitaji upepo.hivyo wote tusivae tuwe safe.
sawa mpenzi,naamini kila kitu unachosema.sitavaa.
Wanatengeneza shapeJamani punguzeni mavazi kina mama. Mnavaa utafikiri mnaenda vitani? Vaeni kama mchumba wangu Cheusimangala.
hahahhhhhhhhhh sei poa tu .............. mie naju wewe utashika wapi ikitoke kuwa hivyo...............LOLnaskia na wanaume pia ni jambo zuri kiafya wasipovaa boxer zao,na wao pia wanahitaji upepo.hivyo wote tusivae tuwe safe.