good baby, ila MAUMBILE yetu, itakuwa balaa barabarani, ni kama kutufungie kengele, au filimbi, maana ukiona tu, kitu kikasisimka,kengele/filimbi inalia na hapo tena siri inakuwa imefichuka!
mh,na hizo kengele c shda sana kutembea jamani au inakuaje hapo?
:faint: full wivu hapa
wasipovaa manguo ming ya kujiziba zba neno..wakivaaa vnguo vya leta upepo nalop neno....ahh ja,man...
naskia na wanaume pia ni jambo zuri kiafya wasipovaa boxer zao,na wao pia wanahitaji upepo.hivyo wote tusivae tuwe safe.
hata wanawake wakitembea bila 'kufuli'kuna shida zake.
labda wavaa kwa kiu-salama zaidi... fikiria bakaji likimparamia hapo... hadi asaule zote hizo ni leo?Si hivyo best wangu. Nawashauri kwa sababu za kiafya. Soma kitabu cha 'Mahali Pasipo na Daktari'. Jiulize ni kwa nini mama wa Kimasai si wengi wanapatwa na kansa ya kizazi.
Wewe binti/mama na joto lote la dar unavaa skintight, chupi na Jeans ya mtumba utakosa fungus kweli. Fikiri, chukua hatua
I sincerely love you Cheusi.
Mie msuli tu, kwa nini nijibadizo?. Alafu usiku wakati wa kulala sivai chochote.
Ukweli ni kwamba Mungu alipotuumba hakutaka tuteseke. Try to be as natural as you can, you will leave longer.
1. Vaa natural (funika viparts vya mwili tu)
2. Kula natural (matunda, mboga, nyama ya kuchoma, kunywa maji ya mtoni, usitumie mafuta ya dukani,...)
3. Ishi natural (furahi, cheka sana, penda sana, imba sana, tembea kwa miguu, usitumie A/C, achana na night dresses ...)
4. Fanya kazi natural (beba mizigo, lima, twanga, ....)
5.Fanya mapenzi natural (sijui nisemeje)
6
I sincerely love you Cheusi.
Mie msuli tu, kwa nini nijibadizo?. Alafu usiku wakati wa kulala sivai chochote.
Ukweli ni kwamba Mungu alipotuumba hakutaka tuteseke. Try to be as natural as you can, you will leave longer.
1. Vaa natural (funika viparts vya mwili tu)
2. Kula natural (matunda, mboga, nyama ya kuchoma, kunywa maji ya mtoni, usitumie mafuta ya dukani,...)
3. Ishi natural (furahi, cheka sana, penda sana, imba sana, tembea kwa miguu, usitumie A/C, achana na night dresses ...)
4. Fanya kazi natural (beba mizigo, lima, twanga, ....)
5.Fanya mapenzi natural (sijui nisemeje)
6
hapo ningependa kkufafanuliwa zaidi.
mara unipige vibuti mara unipende.
jamani punguzeni mavazi kina mama. Mnavaa utafikiri mnaenda vitani? Vaeni kama mchumba wangu cheusimangala.
labda wavaa kwa kiu-salama zaidi... fikiria bakaji likimparamia hapo... hadi asaule zote hizo ni leo?
Nimekuruhusu. Lakini basi iwe na tobo katikati kuruhusu hewa kupita.
Cheusi Dawa
Yaani natural tu, lakini na mpenzi wako huyo huyo. You will live longer. Nylon zenye kinundu zina mifuta inayoweza sababisha magonjwa baadaye. Umeelewa, Cheusi Dawa?:whoo::whoo: