Sumu ya sera ya majimbo ya Dr. Slaa na Mbowe kuwaua wabunge wa CHADEMA

sera ya majimbo ni hatari sana kwa afya ya ukuaji wa taifa letu changa,tusimshambulie mleta hoja kwa kuwa tu kamgusa king MBOWE na Sultan slaa....sera ya majimbo italeta utengano na ubinafsi na hata ukanda pia na kuharibu mshikamano wa kitaifa tulionao...mleta hoja amechanganua vizuri sana na kama una akili timamu huwezi kukurupuka tu na kusema mleta hoja eti hajamaliza hata la saba...ni kujitia ujinga tu kwa mawazo hayo...hapo angeguswa ustadh Kikwete ndo mngekenua meno balaa...wakiguswa wafalme wenu mnashupaza shingo na kutoka mapovu mdomon....
uungwana ni kuchangia kwa heshima na kama great thinkers na wasomi pasipo kuwa bias ili tujenge taifa letu

samahani lakini maana hamchelewi kuitisha maandamano ya kuja kunitukana na kunikejeli
 
nyinyi si mnasemaga sisiemu itatawala milele sana unalia lia lia nini?,

wakati CDM hawana dola, au umenususa harufu ya CDM kushika dola2015??

kuwa wazi, katika maandiko yako, huweleweki uko wapi?, madhumuni ya post yako nini?? unatoa angalizo??,

tahadhari, ushauri, taarifa, je wewe ni nani??, ni pro cdm au proCCM,

ili kama ni ushauri tujue uelekezwe wapi?? na je nini kifanyike,

vinginevyo unaonekana una wivu wa kike

inavyoonekana wewe ni miongoni mwa wale ambao wana macho na wanajisingizia vipofu. umesoma kweli au umesimuliwa tu na watu. si ameeleza bayana kuwa kitendo cha cdm kutekeleza sera za majimbo kwa kuandamana ni uvunjaji wa katiba na sera za nchi? si mawazo yao wangeyatoa kwenye mikutano ya katiba?
 
sera ya majimbo ni hatari sana kwa afya ya ukuaji wa taifa letu changa,tusimshambulie mleta hoja kwa kuwa tu kamgusa king MBOWE na Sultan slaa....sera ya majimbo italeta utengano na ubinafsi na hata ukanda pia na kuharibu mshikamano wa kitaifa tulionao...mleta hoja amechanganua vizuri sana na kama una akili timamu huwezi kukurupuka tu na kusema mleta hoja eti hajamaliza hata la saba...ni kujitia ujinga tu kwa mawazo hayo...hapo angeguswa ustadh Kikwete ndo mngekenua meno balaa...wakiguswa wafalme wenu mnashupaza shingo na kutoka mapovu mdomon....
uungwana ni kuchangia kwa heshima na kama great thinkers na wasomi pasipo kuwa bias ili tujenge taifa letu

samahani lakini maana hamchelewi kuitisha maandamano ya kuja kunitukana na kunikejeli

ni kweli ndugu. hapo walipo wameanza kuhamasishana kwenye JF ili CDM wote waanze kuandamana kutokana na kuguswa viongozi wao. na umewaona wameanza kutukana badala ya kujibu hoja.
 
wewe unaonaje? nimeeleza tangia mwanzo kuwa kutokana na mfumo kandamizi wa kikoloni, baadhi ya maeneo hasa ya kaskazinI na Dar eslsaam yaliendelezwa kuanzia enzi za kikoloni huku maeneo mengine na hasa ya magharibi na kusini hayakuendelezwa. hata hivyo serikali ilianza kuelekeza nguvu zake katika maeneo hayo ambayo maarufu hujulikana kama maeneo ya pembezoni ambayo hata watumishi huyaona kama ni adhabu wanapopelekwa kufanya kazi. bahati mbaya zaidi wakati serikali ikiendeleza maeneo hayo kwa fedha za serikali kuu kupitia misaada ya wahisani na mikopo, watu wengine wanajitokeza kupinga maeneo hayo baada ya kuona sasa kigoma kunawaka baada ya umeme wa uhakika kupatikana au mtwara kunapitika baada ya barabara kujengwa tena kwa mikopo na misaada ya nje

tumechoshwa na ngonjera zisizo na mpango. wewe mwenyewe hujui mpango wa majimbo ya slaa na mbowe. wenzako majimbo yao yameendelea kwa ruzuku za chama halafu watu wa singida waendelee kwa umeme wa upepo. inatisha. baba wa taifa mwalimu julius nyerere alituwekea mfumo mzuri wa uongozi ambao hauna hata chembe ya ubaguzi. ndiyo maana mkurugenzi mtendaji wa halmashauri anaweza kuwa wa Moshi lakini anafanya kazi lindi. kwa hiyo sera yenu nadhani wachaga waliojipanga pale TRA nadhani ndiyo itakuwa mwisho wao maana wamakonde wa mtwara hawatakubali jimbo lao liwe na watu hao maana wameihujumu nchi wa muda mrefu kwa kutumia raslimali za taifa kuendeleza mikoa yao

hata haueleweki unasimamia kitu...mara baadhi ya majimbo yameendelea kwa ruzuku ya chama....mara wakoloni waliendeleza baadhi ya maeneo.....mara ooooh kigoma siku hizi inawaka taa....

Ni kitu kilichofanya kigoma kusiwe na umeme wa uhakika toka uhuru mpaka miaka 50 baada ya uhuru

Kwa nini mikoa ya kusini iko nyuma kimaendeleo toka uhuru..mfano, miundombinu mpaka miaka michache iliyopita...NA SERIKALI KUSHINDWA KUMALIZIA KILOMITA CHACHE MPAKA LEO....na kwa nini serikali hiihii iliacha reli ya dar-tanga......ife na ile ya iliokuwa kusini kung'olewa kabisa........

Serikali hiihii reli ya tazara inaifia mikononi mwake......

Watu mikoa ya kusini wamegubikwa na umaskini wakati wanavuna matani ya moja kati ya mazao muhimu ya kibiashara korosho....unafikiri kama kusini kungekuwa na uongozi wa jimbo ambao wanaguswa moja kwa moja na hiyo korosho ingekuwa inachezewa hivyo wananchi wangewawabisha tofauti na sasa waziri yupo zake dar anakula maisha tu........ mambo mengi yanaharibika kwa sababu viongozi hawana uchungu na maeneo fulani wape watu nguvu kujiamulia mambo yao wenyewe


MAJIMBO MUHIMU
 
Nimeisoma makala yako yote lakini hakuna chochote kipya ulichoandika ambacho hakijawahi kusemwa na ccm na kuandikwa kwenye vyombo vya habari vya mitandao ya kijamii, magazeti, vituo vya redio na televisheni.

Jambo moja kubwa nililoliona katika makala hii ya thatha ni kwamba hii makala umeandikiwa na wakubwa wako wa lumumba na kazi yako imekuwa ni kuja kuibwaga tu hapa JF. Kwa muda mrefu ambao nimekuwa nikisoma threads na comments za Thatha hapa JF, hawezi na hajawahi kutoa comment iliyonyooka kama hii makala pamoja na kuwa hoja zote zilizomo ni propaganda tu ambazo zimekuwa ni sehemu ya mikakati ya ccm kujaribu kuidhoofisha Chadema bila mafanikio.

Kawaambie waliokutuma kwamba wenyewe wako macho hawafumbi macho hata sekunde moja.

Hafadhali sana leo thatha kawaweza , nimeamini ukweli unauma kwa jinsi mnavyotapatapa. Aendelee hivyo hivyo.
 
Mleta uzi yaonekana hajui nini faida ya sera ya majimbo. Kwa ufupi sana sera hii inapunguza sana ufisadi na rasilimari za taifa kuunemesha watu wachache au familia chache kama ilivyo sasa hivi. Ungekuwa na uelewa mdogo ungeweza hata kuzunguka japo kidogo tu Tanzania hii na kama ungerudi na uzi wako huu....Hebu jaribu kutembelea Buhemba uone jinsi sera zenu CCM zilivyowafanya watu wa eneo la Buhemba! Madini yalichimbwa,mashimo ( Mahandaki) na wakaachiwa wananchi wa Buhemba wakiwa hoi bin taabani huku wajanja wakineemeka kama kawaida na kwa vile nchi yetu haina mwenyewe vilevile tembelea maeneo yote yenye migodi uone wananchi wanaozunguka migodi hiyo walivyo hoi...sera za majimbo ni ukombozi kwa Tanzania na itapunguza watu wachache kuimiliki nchi hii ambayo kwa sasa haina mwenyewe.
 
hahhhah..tunawajua hao na ndo maana kila siku chama chao kinazidi kupoteza umaarufu kwa kuwa hawapendi challenge..lakini angekuwa ameguswa JK,EL na wengine wa ccm au ZZK wao hapo ungeona wanavyokenua mimeno kama mbwa mwitu wenye njaa kali...muda si mrefu wanaandamana hapa na matusi yao...mimi nawasubiri hapa


ni kweli ndugu. hapo walipo wameanza kuhamasishana kwenye JF ili CDM wote waanze kuandamana kutokana na kuguswa viongozi wao. na umewaona wameanza kutukana badala ya kujibu hoja.
 
Wadau,
  • Hapana ubishi kuwa mikoa kama Dar es salaam, Tanga, Pwani, Lindi na visiwa vya Zanzibar waumini wake wengi ni waislamu, huku mikoa kama Mbeya, Kilimanjaro, Arusha na Manyara waumini wake walio wengi ni wakristo. CDM wameamua kwa makusudi mazima kuwagawa watanzania kwa misingi ya udini, hoja ambayo wanajaribu kuwa-preempt CCM kuwa ndiyo wanaeneza udini. Hili linafanyika kwa makusudi hasa ukizingatia kuwa wote wanaopiga kelele za kuwa CCM ni wadini wote wamelelewa na kanisa (SLAA, MBOWE, LEMA, MNYIKA n.k), kwa ushahidi tazameni CV zao kwenye tovuti ya bunge mkajionee, hata machapisho yao ni vitabu vya dini.
  • Kuonesha kwa vitendo kuwa ni wadini kwa kuyaenzi maneno yalioko kwenye vitabu vitakatifu kuwa “KILA MTU ATAUBEBA MSALABA WAKE MWENYEWE” kwani sasa ile mikoa ambayo haina maliasili kama mito, maziwa, milima na madini na iko nyuma kimaendeleo iendelee kuwa maskini na ile yenye maliasili na iko mbele kimaendeleo na iendelee tajiri.

Sera ya Majimbo imeanzishwa kama sehemu ya kuingilia tu mwelekeo halisi ni kuigawa nchi kimkoa. Katika maandalizi ya hilo, CHADEMA wameanzisha Tovuti za kimkoa kama vile Mbeya Yetu, Katavi Yetu, Iringa Yetu, Lindi Yetu, Mtwara Yetu, Dar es Salaam Yetu, Arusha Yetu na Zanzibar Yetu. Mitandao hiyo imeratibiwa na kuendeshwa na CHADEMA kwa lengo la kuhamasisha vijana ambao ndio watumiaji wakubwa kuichukia serikali na kujitambua kimkoa chini ya dhana ya WAGAWE UWATAWALE.

1. Unastahili ufungwe jiwe utose majini, upotee kabisa!!!
2. Kwenye bluu- kweli umefanya tafiti gani ukahitimisha kwamba mikoa uliyotaja ndio yenye waumini hawa na sio wale? Hujafanya utafiti, kaa kimya
3. Kwenye rangi ya kahawia- hivi ni Mkoa au kanda gani Tanzania ambayo haikujaliwa raslimali asili Tanzania, nitajie Mkoa Mmoja, hata basi wilaya moja! Ipi? Dodoma? Singida(hata bila kusoma unajua upepo- wind power ndio pake hapa? Ruvuma? Ni wapi!
4. Kweli ungeliweza kuwa na timu ya Taifa ya Mpira kama usingekuwa na vilabu? Yaani uwe unaandaa timu mmoja tu kwa taifa ili kusiwe na mashindano ili upate timu yenye kuwa na usawa sijui na ujinga gani mwingine! Hujui ushindani ni siri ya maendeleo- Of course CCM haiwezi kusimamia ushindani. Imeshindwa kusimamia mawaziri wake wanadonoana macho kila kukicha sembuse ni kusimamia kanda na magavana wake?

Hoja gani umeleta sasa!?
 
sera ya majimbo ndio inayoitafuna Nigeria sasa hivi, nchi imegawanyika vipande vipande kilichobaki ni vita tu
What about USA??? Mbona umejivika upofu na kujitoa ufahamu bila sababu za maana???USA nao pia wana sera za majimbo unalipi la kuongea hapo??? Tatizo lenu mnakwepa ukweli na kujificha nyuma ya mifano mibovu ili kutishia watu. Je hujaona nchi iliyogawanyika na yenye vita chini ya sera ya mikoa pia??? Kinachosababisha vita sio sera ya majimbo au ya mikoa!! Ni uongozi mbovu kama huu wa maCCM.

Kama sera za majimbo zitakuwa chini ya serikali ya CCM for sure mtatupeleka pale ilipo Nigeria, mana hata hii sera ya mikoa imewshinda kuiinstitute properly. Ila kama zitakuwa chini ya CDM, hilo halipo.
 
sijaona mantinki ya ulichopost hapa
sana sana nendaa kachukue mshiko wako lumumba
sera ya majimbo ina maana kubwa sana hata mm naiunga mkono
Mi CCM kubisha kila kitu ili waendelee kutumbua rasilimali zetu.

mmeshazoea kutumbua hizo hela kwa maslahi yenu kama fedha za utalii, madini, sasa mnataka za gesi na mafuta
mikoa yenye hizo rasilimali ikibaki maskini. wezi wakubwa nyie mwisho wenu umeshafika
mnakesha JF kutukana chadema, tekelezeni ahadi zenu kwa wananchi msitake tuwe kama Kenya 2007
hakuna kuiba kura na katiba mpya ndio kifo chenu kwani tume huru ya uchaguzi itawaumbua.
 
Nimeisoma makala yako yote lakini hakuna chochote kipya ulichoandika ambacho hakijawahi kusemwa na ccm na kuandikwa kwenye vyombo vya habari vya mitandao ya kijamii, magazeti, vituo vya redio na televisheni.

Jambo moja kubwa nililoliona katika makala hii ya thatha ni kwamba hii makala umeandikiwa na wakubwa wako wa lumumba na kazi yako imekuwa ni kuja kuibwaga tu hapa JF. Kwa muda mrefu ambao nimekuwa nikisoma threads na comments za Thatha hapa JF, hawezi na hajawahi kutoa comment iliyonyooka kama hii makala pamoja na kuwa hoja zote zilizomo ni propaganda tu ambazo zimekuwa ni sehemu ya mikakati ya ccm kujaribu kuidhoofisha Chadema bila mafanikio.

Kawaambie waliokutuma kwamba wenyewe wako macho hawafumbi macho hata sekunde moja.

shida ndiyo. watu wanauona ukweli lakini kwa ukaidi wao tu na mapenzi yao kwa CDM wanakanusha kila kitu kizuri kinacholetwa dhdi ya chama chao na kusingizia kuwa wameandikiwa na making wa CCM
 
Ww thatha unatumia masaburi zaidi. hilo andiko lako limekaa ki Lumumba zaidi. kachukue posho leo ijumaa.

asante sana mkuu kwa kulainika, sasa peleka taarifa kuwa kumbe kila kitu kinajulikana wajipange upya.
 
What about USA??? Mbona umejivika upofu na kujitoa ufahamu bila sababu za maana???USA nao pia wana sera za majimbo unalipi la kuongea hapo??? Tatizo lenu mnakwepa ukweli na kujificha nyuma ya mifano mibovu ili kutishia watu. Je hujaona nchi iliyogawanyika chini ya sera kama yenu ya mikoa pia??? Kama sera za majimbo zitakuwa chini ya serikali ya CCM for sure mtatupeleka pale ilipo Nigeria, ila kama zitakuwa chini ya CDM, hilo halipo.

USITOE mifano ya USA ambayo hulingani nayo hata kwa chembe. Umetolewa mfano wa Nigeria ambayo tunafanana katika mambo mengi wewe unaulizia kuhusu USA. Pitia kwenye historia uone kwa nini USA wamekuwa na mfumo huo na kaone ikiwa majimbo yote yapo sawa kimaendeleo. Je hapa TZ unafikiri hali itakuwaje? nikiifikiria kigoma, rukwa na Lindi
 
sera ya majimbo ni hatari sana kwa afya ya ukuaji wa taifa letu changa,tusimshambulie mleta hoja kwa kuwa tu kamgusa king MBOWE na Sultan slaa....sera ya majimbo italeta utengano na ubinafsi na hata ukanda pia na kuharibu mshikamano wa kitaifa tulionao...mleta hoja amechanganua vizuri sana na kama una akili timamu huwezi kukurupuka tu na kusema mleta hoja eti hajamaliza hata la saba...ni kujitia ujinga tu kwa mawazo hayo...hapo angeguswa ustadh Kikwete ndo mngekenua meno balaa...wakiguswa wafalme wenu mnashupaza shingo na kutoka mapovu mdomon....
uungwana ni kuchangia kwa heshima na kama great thinkers na wasomi pasipo kuwa bias ili tujenge taifa letu

samahani lakini maana hamchelewi kuitisha maandamano ya kuja kunitukana na kunikejeli

Mkuu nakushukuru sana kwa kuniweka juu maanake hawa jamaa baada ya kukosa hoja wameambiwa kazi kubwa sasa iwe ku-attack great thinkers, pamoja sana, kesho nitakuleteeni nyingine kali ambayo nitaaiipua jikoni asubuhi sana.
 
Changamsha ubongo wako mkuu. Hao CDM muda ukifika watanyea debe waache tu wananchi wachanganyikiwe kwanza kwa ulaghai wao watakuwa wanawafuata mmoja baada ya mwingine.

Kama kwa maelezo haya ndo umenifafanulia basi sina la kukuuliza tena. Watawala wenyewe unaowatetea ndo hawa hawa wanaowaacha chadema wawalaghai wananchi bila wao kuchukua hatua yoyote? Binafsi naona watakuwa hawafai kabisa kwa sababu hawawezi kuwasaidia wanaolaghaiwa. Pia, si vizuri kuwatisha watu kwa vitu ambavyo havipo kwani hizi si zama za siasa uchwara za ukichagua wapinzani wataleta vita!
 
sijaona mantinki ya ulichopost hapa
sana sana nendaa kachukue mshiko wako lumumba
sera ya majimbo ina maana kubwa sana hata mm naiunga mkono
Mi CCM kubisha kila kitu ili waendelee kutumbua rasilimali zetu.

mmeshazoea kutumbua hizo hela kwa maslahi yenu kama fedha za utalii, madini, sasa mnataka za gesi na mafuta
mikoa yenye hizo rasilimali ikibaki maskini. wezi wakubwa nyie mwisho wenu umeshafika
mnakesha JF kutukana chadema, tekelezeni ahadi zenu kwa wananchi msitake tuwe kama Kenya 2007
hakuna kuiba kura na katiba mpya ndio kifo chenu kwani tume huru ya uchaguzi itawaumbua.

Uliza KIVUITU wa kenya sasa yuko wapi? halafu, mbona kila post dhidi ya CDM mnasingizia CCM. halafu kumbe ndivyo mnavyofanyaaaaa...... shida ndiyo hiyo. kujibishana na watu wenye kutaka maslahi ya kifedha ni hatali kweli. wewe unalipwa kiasi gani hapo kinondoni unapojifungia kuangalia tu taarifa zisizowapendeza wakubwa zako?
 
Na kwa kuongezea: ccm kwa sasa wanapita majumbani na kuwarubuni akinamama kununua kadi kwa 1500, na kufungua account kwa 10000, eti watawapatia mikopo! wizi mtupu! leo ndiyo wanawaona wanastahili kufungua akaunti?
 
hahhhah..tunawajua hao na ndo maana kila siku chama chao kinazidi kupoteza umaarufu kwa kuwa hawapendi challenge..lakini angekuwa ameguswa JK,EL na wengine wa ccm au ZZK wao hapo ungeona wanavyokenua mimeno kama mbwa mwitu wenye njaa kali...muda si mrefu wanaandamana hapa na matusi yao...mimi nawasubiri hapa
z.o.b.a kweli!unamaanisha umaarufu upi unaopotea.yaani unajitahid kuubishia ukweli.lopoka utukane tena.
 
Back
Top Bottom