kawakama
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,299
- 391
sera ya majimbo ni hatari sana kwa afya ya ukuaji wa taifa letu changa,tusimshambulie mleta hoja kwa kuwa tu kamgusa king MBOWE na Sultan slaa....sera ya majimbo italeta utengano na ubinafsi na hata ukanda pia na kuharibu mshikamano wa kitaifa tulionao...mleta hoja amechanganua vizuri sana na kama una akili timamu huwezi kukurupuka tu na kusema mleta hoja eti hajamaliza hata la saba...ni kujitia ujinga tu kwa mawazo hayo...hapo angeguswa ustadh Kikwete ndo mngekenua meno balaa...wakiguswa wafalme wenu mnashupaza shingo na kutoka mapovu mdomon....
uungwana ni kuchangia kwa heshima na kama great thinkers na wasomi pasipo kuwa bias ili tujenge taifa letu
samahani lakini maana hamchelewi kuitisha maandamano ya kuja kunitukana na kunikejeli
uungwana ni kuchangia kwa heshima na kama great thinkers na wasomi pasipo kuwa bias ili tujenge taifa letu
samahani lakini maana hamchelewi kuitisha maandamano ya kuja kunitukana na kunikejeli