Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,100
Wadau, hivi karibuni, viongozi wa CHADEMA chini ya Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dr. Wilbroad Slaa walitangaza mpango wa Tanzania kuongozwa katika Mfumo wa Majimbo. Katika nadharia yao hiyo, ni kwamba nchi ya Tanzania itagawanywa katika Majimbo ili kuharakisha shughuli za maendeleo.
Walau umeelewa umuhimu wake..........ila endelea tu kupinga kwa kuwa wewe ni GAMBA