Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Rev Mzito K unahangaika sana kuharibu chadema ukijifanya umo kwa mema
Kwanza kabisa hizo picha ulizoweka hazionyeshi kabisa hoja yako na nafasi ya sugu, nani atathibitisha hizo picha ni za mbeya?
Mkuu, ninamdhalilishaje huyo mama ambaye kila siku yuko barabarani jua lake mvua yake? Mimi na hao waliomwajiri nani ni mdhalilishaji?Nikiri tu kwamba unachofanya ni udhalilishaji wa huyo mama uliyemuweka hapo! maana heading yako na ulichokiweka havina uhusiano? au unataka kutuambia nini?
Mkuu ungeshirikisha ubongo wako kwanza kabla hujapost hii post. Sugu ni mjumbe wa full council ya jiji la mbeya, Kwa lugha nyingine yeye ni diwani wa halmashauri ya jiji la Mbeya. Sugu anahusika katika kuhakikisha hao wamama wanafanya kazi wakiwa na vifaa na katika hali ya usalama wa afya zao.Rev Mzito K unahangaika sana kuharibu chadema ukijifanya umo kwa mema
Kwanza kabisa hizo picha ulizoweka hazionyeshi kabisa hoja yako na nafasi ya sugu, nani atathibitisha hizo picha ni za mbeya?
Soma post yangu kabla hii ya kwako uone wewe na mimi nani anafikiria kwa masaburiwe unafikiri kwa masaburi nn kama unahuruma kwann usimweke kwenu..ndo tatizo la watanzania yumezidi kulalamika ulitaka awe ombaomba nn hapo ilibd kumsifia huyo mama kwa kujiajili
Hizi picha nimezitoa Michuzi blog. Ni wamama wanaofanya usafi Halmashauri ya Mbeya. Kama ni kudhalilishwa wameshadhalilishwa na michuzi. Kikubwa ni kuwa Sugu anapokaa na wenzake halmashauri huwa hawazungumzi kuwapatia vifaa vya kazi hawa vikongwe?Rev. Kama ulikuwa unajaribisha kamera, hiyo kamera ni nzuri, usingetumia mzunguko mrefu, mie nimeona hizi picha zimetoka poa. Kwa upande wa kunyanyasa mama zetu wewe unawazalilisha, kuwapiga picha bila mpango na kuwa leta Jf
Mkuu, ninamdhalilishaje huyo mama ambaye kila siku yuko barabarani jua lake mvua yake? Mimi na hao waliomwajiri nani ni mdhalilishaji?
Hizi picha nimezitoa Michuzi blog. Ni wamama wanaofanya usafi Halmashauri ya Mbeya. Kama ni kudhalilishwa wameshadhalilishwa na michuzi. Kikubwa ni kuwa Sugu anapokaa na wenzake halmashauri huwa hawazungumzi kuwapatia vifaa vya kazi hawa vikongwe?
Mkuu, ninamdhalilishaje huyo mama ambaye kila siku yuko barabarani jua lake mvua yake? Mimi na hao waliomwajiri nani ni mdhalilishaji?
Mkuu ungeshirikisha ubongo wako kwanza kabla hujapost hii post. Sugu ni mjumbe wa full council ya jiji la mbeya, Kwa lugha nyingine yeye ni diwani wa halmashauri ya jiji la Mbeya. Sugu anahusika katika kuhakikisha hao wamama wanafanya kazi wakiwa na vifaa na katika hali ya usalama wa afya zao.
Pili, uhusika wangu chadema au kutokuwa chadema haukuhusu. Hata kama naichafua Chadema kama unavyoona, ni sehemu ya uhuru wangu wa kikatiba kama ulivyo huru kuichafua CCM.
Tatu, Mimi siichafui Chadema. Chadema itajichafua yenyewe.
Nne. Mimi ni mwanachadema hai kuliko wewe shabiki wa Chadema mtandaoni
Mkuu, ninamdhalilishaje huyo mama ambaye kila siku yuko barabarani jua lake mvua yake? Mimi na hao waliomwajiri nani ni mdhalilishaji?
Anayetakiwa kuulizwa hapa ni mkurugenzi wa jiji kwanini wafanya usafi wa jiji la mbeya hawana vitendea kazi.
Sugu sio mtendaji wa jiji la mbeya, ni muhimu ukalitambua hili.