johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Itoshe tu kusema kwa sababu Sugu na Dkt. Tulia PhD ni Wanafamilia wa Serikali ya Awamu ya 6 basi Hapo mjini Mbeya pafanyike Nusu Mkate yatoke Majimbo Mawili
Ikumbukwe Dkt. Tulia PhD na Bilionea Sugu Moto Chini Wote wanakubalika sana Mbeya nzima
Mlale Unono 😀😀
Ikumbukwe Dkt. Tulia PhD na Bilionea Sugu Moto Chini Wote wanakubalika sana Mbeya nzima
Mlale Unono 😀😀