Sugu moto chiniii!!!

unajuwa Ritz ni shoga tena nape anamshughulikia kwa hiyo anajaribu kujipendekeza ili na sugu ampe kitu
shame on you mwanaume mzima unashikishwa ukutu
nyambafffff
 
Mkuu kwa hiyo magazeti yetu yote hapa Tanzani huwa yanaandika kiarabu?

Kila gazeti linatumia neno Rais

Hayo ni makosa na si hilo tu kuna maneno kama maalumu, maskani, wataalamu, maskini magazeti na watu wasiolewa msingi wa lugha ya Kiswahili huyaandika: maalum, maskan, wataalam, maskin, na kadhalika. Kukosoa na kuwekana sawa ndiyo njia ya kuelimishana.
 
to ma pessssssssssssssssssssssssssssss
halaiki.JPG

huku.JPG
sugu.JPG sugu.JPG mwanjelwa hoyeeee.JPG
 
Mbona unajikanyaga hivyo? mara mmeona alivyokusanya watu, mara wabaya wa SUGU mtachonga, mara hawampendi wanaona hafai. Kumbe hata wewe unajua hafai unawatupia watu mpira. SUGU anajua nini , kukusanya watu siyo kigezo cha kuweza, tulishaona ona wanasiasa wengi wakikusanya watu wakiwemo akina SLAA , lakini ndo kama hivyo wanaweza nini? siasa za hasira, majungu, kashfa majukwaani na kelele za njaa ndiyo kuweza. Halafu ukumbuke kuwa SUGU ni msanii , Watu wengi wanaweza kuwa na Shauku ya kwenda kumuona Msanii na siyo Mbunge.

Ukweli unaujua na umeuona mkuu, ila wivu wa mafanikio ya wengine ndio unaokusumbua. Kujaa wasikilizaji ndiko kukubalika kwenyewe. Pole sana.
 
attachment.php


Nilishawahi kusema polisi wetu ni unifomu tu hawana mbinu zozote za kukabiliana na vurugu kubwa, ona hapa hadi wanajeshi wameingilia.
 
Suala si kupendwa tu, je ana sifa na uwezo wa kutekeleza majukumu yake kikamilifu kama mbunge?
Ieleweke kazi ya mbunge sio kufanya mikutano tu na kutoa kauli za kuwafurahisha waliomchagua.
Maendeleo ya kweli hayaji kwa kufanya mikutano kila wakati (hata kama itahudhuriwa na watu milioni ngapi).
 
Suala si kupendwa tu, je ana sifa na uwezo wa kutekeleza majukumu yake kikamilifu kama mbunge?
Ieleweke kazi ya mbunge sio kufanya mikutano tu na kutoa kauli za kuwafurahisha waliomchagua.
Maendeleo ya kweli hayaji kwa kufanya mikutano kila wakati (hata kama itahudhuriwa na watu milioni ngapi).

Sikinde waliimba "Sio wivu mke wangu naona uchungu kusikia, maneno kwa majirani mimi nina wasiwasi"
 
Rais ni kiarabu na Raisi ni kiswahili. Neno lolote la kiswahili lazima liishie na vaweli za a,e, i,o, u au wengine husema irabu. Hivyo ni makosa kuandika neno lolote la Kiswahili bila kuishia na vaweli.

mpe elimu dunia huyo, aliikosa utotoni
 
Mkiwazuia hawa kusema basi Mungu wetu atayaamuru mawe yaseme. Ni vema tuelewe ndugu zangu kuwa vijana wetu si wa kuendelea kusema ndiyo Mzee haki zao wanazijua. Wanyapara wetu ni lazima waelewe kuwa hao mabwana zao wa nje "wachukuaji" hatawafikisha kokote na kama wakiendelea wataondolewa vitandani kama Watawala wa Kirumi walivyofanywa. Watakatwa shingo kama makabaila wa Kifaransa walivyofanywa licha ya juhudi za watumishi wao kuwasalimisha watoto wao kwa kuwafika magunia na kuwapaka majivu. Kwa mikono yao ilikuwa ni miyoyoro na kigezo hicho kilipotumika hata watoto wao walikatwa shingo. Wanyapara wetu yatawakuta yaliyompata Nduli, Fashisti, Dikteta Iddi Amin Dada, Bokassa, Nguema, Shah, Somoza mwaka 1979(Mwaka wa kuanguka Madikteta na Wadhalimu).

Yatawakuta yaliyowapata Hosni Mubarak, Ben Ali, na Gaddafi yule mtu ambaye aliwahi kuipa nchi yetu mnamo tarehe 21 Februari 1979 kuondoa majeshi yetu Uganda katika muda wa saa 24. Wanyapara ni vema wajue Watanzania hawa si kama wale ambapo mnamo tarehe 2 Novemba 1991 Wanafunzi wa Chuo Kikuu tulivyosimama mbele ya Jaji Mkuu Nyalali kudai mfumo wa Vyama vingi wengi wao walikuwa wanataka mfumo wa chama kimoja uendelee. Au wale ambao mnamo tarehe 12 Mei 1990 Raisi Mwinyi alipotufukuza Chuo Kikuu (DSM) na kwenda kukaa nyumbani mwaka mzima bila haki ya kufanya kazi, waliandamana na kutukejeli kwa kila namna na huku Redio uchwara ya RTD, magazeti ya Uhuru, Mzalendo na hata lile la Mfanyakazi yakipalilia makaa vichwani mwetu. Vijana wa sasa tena Wamachinga wanajua haki zao hasa zinazogusa kujikimu kwao. Serikali yetu haijui mahitaji yao na kuwa bila watu kuwa na uhakika wa kujikimu hakuna nguvu yoyote ile ya dola au ya giza inayoweza kuwanyamazisha. Hongera Vijana wa Tanzania!
 
Nyie wote mnaofuja na kunufaika na ufujaji wa rasilimali za nchi hii...OLE WENU...mwisho wenu upo karibu...na tutawasokemezea vijiti m.a.t.a.k.o.n.i kama alivyofanyiwa yule swahiba wenu. Polisi wenu na risasi zao HAZITATOSHA tukiamua. Ma fedhuli wakubwa nyie mnaosababisha maisha magumu kwa watanzania shauri ya ubinafsi wenu.
 
Mbona unajikanyaga hivyo? mara mmeona alivyokusanya watu, mara wabaya wa SUGU mtachonga, mara hawampendi wanaona hafai. Kumbe hata wewe unajua hafai unawatupia watu mpira. SUGU anajua nini , kukusanya watu siyo kigezo cha kuweza, tulishaona ona wanasiasa wengi wakikusanya watu wakiwemo akina SLAA , lakini ndo kama hivyo wanaweza nini? siasa za hasira, majungu, kashfa majukwaani na kelele za njaa ndiyo kuweza. Halafu ukumbuke kuwa SUGU ni msanii , Watu wengi wanaweza kuwa na Shauku ya kwenda kumuona Msanii na siyo Mbunge.

wewe dawa yako na mafisadi wenzako inakuja.....kijiti...m.a.t.a.k.o.n.i.
 
Suala si kupendwa tu, je ana sifa na uwezo wa kutekeleza majukumu yake kikamilifu kama mbunge?
Ieleweke kazi ya mbunge sio kufanya mikutano tu na kutoa kauli za kuwafurahisha waliomchagua.
Maendeleo ya kweli hayaji kwa kufanya mikutano kila wakati (hata kama itahudhuriwa na watu milioni ngapi).
Pole kwa wivu mkuu:

hapo red;
JIBU ni NDIYO kwa sababu aliacha kikao cha bunge kuja kuwasikliza wananchi wake ambao: Walimchagua kwa kura za kishindo, Walio mwamini na wanao mwamini hadi sasa. Mi nipo MBY Sugu anakubalika sana ndiyo maana tangu jana hakuna kiongozi aliye jitokeza kuongea nao ili kutuliza gasia za saa zaidi ya 36 Elewa Sugu ni MBUNGE

Hapo blue;
Sasa wewe unataka atoe kauli za kuudhi, kuumiza, kukera wananchi kama " waTz watakula nyasi ila ndege lazima inunuliwe '' Hapa umechemka. Hivi unadhani maendeleo yanaletwa na mtu mmoja ? Ni lazima kucouple mawazo hata ya machinga mkuuuuu

Hapo bold black;
Kwa hiyo we unasemaje, kwa issue kama hii vurugu masaa 36 nonstop hapahitajiki mkutano wa kujadili tatizo na solution zake au unafikiri vikao vya viongozi vinavyoambatana na posho vinatosha ? Ninavyojua mimi maendeleo ya kweli yanakuja kwa kufanya mikutano mikubwa ya pamoja kujadiliana/kuelimishana vipau mbele vya maendeleo kuliko kwa utaratibu huu watu wachache wanajifungia wanagawana posho kisha wanakuja na maamuzi ya kuudhi wananchi kama hawa wa MBY wanao mwaga michele ya akina mama maana ndiyo kiini cha ugomvi

Naomba nikushauri

  • Tulia sana kabla huja comment jambo usilolojua vema
  • Usitumie mbege inaharibu uelewa wa mambo ya msingi na inakufanya uje na majibu/hoja nyepesi kwenye issue nyeti
  • Sugu hakuitisha mkutano wa chama ila machinga ndiyo walio muuita " YATOSHA"
 
Da sugu ni presdent wa mbeya ambaye haamini amwulize viongozi wa mkoa mbeya.

Ephrahim Kibonde si anatoka Mbeya? Mbona hawakumkumbuka ili aende kuwatuliza ndugu zake (Maana Mjinga huyu anajiona kama ana busara kweli!). Amemwona Rais wake Sugu akifanya Majambozzz!!! SUGU MOTO CHINI..!!!
 
Jaribu kuuona UKWELI,watanganyika wengi tunapenda ushabiki hata ktk mambo ya msingi kama vile wewe ulivotoa comment ya kishabiki yenye misingi ya kiitikadi ilhali ukweli unaujua kuwa tabaka la chini limepoteza matumaini yao kwa serikali .HAKUNA UTAWALA USIOKOMA hasa ule uwakandamizao wasionacho.
 
Pole kwa wivu mkuu:

hapo red;
JIBU ni NDIYO kwa sababu aliacha kikao cha bunge kuja kuwasikliza wananchi wake ambao: Walimchagua kwa kura za kishindo, Walio mwamini na wanao mwamini hadi sasa. Mi nipo MBY Sugu anakubalika sana ndiyo maana tangu jana hakuna kiongozi aliye jitokeza kuongea nao ili kutuliza gasia za saa zaidi ya 36 Elewa Sugu ni MBUNGE

Hapo blue;
Sasa wewe unataka atoe kauli za kuudhi, kuumiza, kukera wananchi kama " waTz watakula nyasi ila ndege lazima inunuliwe '' Hapa umechemka. Hivi unadhani maendeleo yanaletwa na mtu mmoja ? Ni lazima kucouple mawazo hata ya machinga mkuuuuu

Hapo bold black;
Kwa hiyo we unasemaje, kwa issue kama hii vurugu masaa 36 nonstop hapahitajiki mkutano wa kujadili tatizo na solution zake au unafikiri vikao vya viongozi vinavyoambatana na posho vinatosha ? Ninavyojua mimi maendeleo ya kweli yanakuja kwa kufanya mikutano mikubwa ya pamoja kujadiliana/kuelimishana vipau mbele vya maendeleo kuliko kwa utaratibu huu watu wachache wanajifungia wanagawana posho kisha wanakuja na maamuzi ya kuudhi wananchi kama hawa wa MBY wanao mwaga michele ya akina mama maana ndiyo kiini cha ugomvi

Naomba nikushauri

  • Tulia sana kabla huja comment jambo usilolojua vema
  • Usitumie mbege inaharibu uelewa wa mambo ya msingi na inakufanya uje na majibu/hoja nyepesi kwenye issue nyeti
  • Sugu hakuitisha mkutano wa chama ila machinga ndiyo walio muuita " YATOSHA"

.waelimishe wajinga hawa
 
Back
Top Bottom