Tulia Ackson afanye nini wananchi wa mbeya wamwonee huruma?Amefanya matamasha mengi kuliko kiongozi yoyote wakisiasa ila Wanyakyusa wamemkazia

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
889
4,137
Kama kuna Mbunge ameandaa matamasha na kurekodi matukio anayofanya ni Tulia Ackson. Ameandaa wasanii wakubwa , ameandaa mpira , ameandaa vikundi vyakusaidia nakadhalika . Ila hadi sasa bado wananchi wa Mbeya awataki kumwelewa mama wa watu.

Amezunguka Mbeya mjini hali ngumu ameenda Rungwe nako bado mambo si mambo; amebaki na wakinamama tu vijana na wanaume hakuna anayejitokeza kumuunga mkono. Nadhani mapato yake mengi anayamalizia kwenye matamasha kwa sababu hakuna Mradi wa maana kutoka kwenye fedha zake aliofanya.

Njia pekee aliyobaki nayo nikwenda kushawishi majimbo yagawanywe jambo ambalo pia linaweza lisizae matunda. Anaweza akagawa majimbo kwa maslahi yake na wapiga kura wasimpokee anapokwenda kugombea.


Unadhani atumie njia gani akubalike kama wanavyofanya akina sugu?
 
Kama kuna Mbunge ameandaa matamasha na kurekodi matukio anayofanya ni Tulia Ackson. Ameandaa wasanii wakubwa , ameandaa mpira , ameandaa vikundi vyakusaidia nakadhalika . Ila hadi sasa bado wananchi wa Mbeya awataki kumwelewa mama wa watu.

Amezunguka Mbeya mjini hali ngumu ameenda Rungwe nako bado mambo si mambo; amebaki na wakinamama tu vijana na wanaume hakuna anayejitokeza kumuunga mkono. Nadhani mapato yake mengi anayamalizia kwenye matamasha kwa sababu hakuna Mradi wa maana kutoka kwenye fedha zake aliofanya.

Njia pekee aliyobaki nayo nikwenda kushawishi majimbo yagawanywe jambo ambalo pia linaweza lisizae matunda. Anaweza akagawa majimbo kwa maslahi yake na wapiga kura wasimpokee anapokwenda kugombea.


Unadhani atumie njia gani akubalike kama wanavyofanya akina sugu?
Mara ya mwisho kaja na ndege ya jeshi lakini wapi !
 
Kama kuna Mbunge ameandaa matamasha na kurekodi matukio anayofanya ni Tulia Ackson. Ameandaa wasanii wakubwa , ameandaa mpira , ameandaa vikundi vyakusaidia nakadhalika . Ila hadi sasa bado wananchi wa Mbeya awataki kumwelewa mama wa watu.

Amezunguka Mbeya mjini hali ngumu ameenda Rungwe nako bado mambo si mambo; amebaki na wakinamama tu vijana na wanaume hakuna anayejitokeza kumuunga mkono. Nadhani mapato yake mengi anayamalizia kwenye matamasha kwa sababu hakuna Mradi wa maana kutoka kwenye fedha zake aliofanya.

Njia pekee aliyobaki nayo nikwenda kushawishi majimbo yagawanywe jambo ambalo pia linaweza lisizae matunda. Anaweza akagawa majimbo kwa maslahi yake na wapiga kura wasimpokee anapokwenda kugombea.


Unadhani atumie njia gani akubalike kama wanavyofanya akina sugu?
Wananchi wa Mbeya walipokuwa wanateswa na Magufuli, Tulia alikuwa ametulia tuli, huku akiwacheka wana Mbeya kwa dharau
 
Kama kuna Mbunge ameandaa matamasha na kurekodi matukio anayofanya ni Tulia Ackson. Ameandaa wasanii wakubwa , ameandaa mpira , ameandaa vikundi vyakusaidia nakadhalika . Ila hadi sasa bado wananchi wa Mbeya awataki kumwelewa mama wa watu.

Amezunguka Mbeya mjini hali ngumu ameenda Rungwe nako bado mambo si mambo; amebaki na wakinamama tu vijana na wanaume hakuna anayejitokeza kumuunga mkono. Nadhani mapato yake mengi anayamalizia kwenye matamasha kwa sababu hakuna Mradi wa maana kutoka kwenye fedha zake aliofanya.

Njia pekee aliyobaki nayo nikwenda kushawishi majimbo yagawanywe jambo ambalo pia linaweza lisizae matunda. Anaweza akagawa majimbo kwa maslahi yake na wapiga kura wasimpokee anapokwenda kugombea.


Unadhani atumie njia gani akubalike kama wanavyofanya akina sugu?
Acha ushambenga mtoto wa kiume, utafumuliwa marinda
 
Hakuna kitu kigumu kama kulazimisha kupendwa. Huyo mama zaidi ya siasa za kutambia madaraka hana ushawishi wowote wa kisiasa. Ashukuru tu kwakuwa box la kura sio linaloamua nani awe kiongozi hapa nchini, ila kura halali zingetangazwa ingekuwa fedheha kwake na kizazi chake chote.
 
Kama kuna Mbunge ameandaa matamasha na kurekodi matukio anayofanya ni Tulia Ackson. Ameandaa wasanii wakubwa , ameandaa mpira , ameandaa vikundi vyakusaidia nakadhalika . Ila hadi sasa bado wananchi wa Mbeya awataki kumwelewa mama wa watu.

Amezunguka Mbeya mjini hali ngumu ameenda Rungwe nako bado mambo si mambo; amebaki na wakinamama tu vijana na wanaume hakuna anayejitokeza kumuunga mkono. Nadhani mapato yake mengi anayamalizia kwenye matamasha kwa sababu hakuna Mradi wa maana kutoka kwenye fedha zake aliofanya.

Njia pekee aliyobaki nayo nikwenda kushawishi majimbo yagawanywe jambo ambalo pia linaweza lisizae matunda. Anaweza akagawa majimbo kwa maslahi yake na wapiga kura wasimpokee anapokwenda kugombea.


Unadhani atumie njia gani akubalike kama wanavyofanya akina sugu?
Lile Jimbo gumu sana kwa watu wa mbeleko,yule angeenda Rungwe,pale Mbeya Mjini patachimbika 2025!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom