mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Nini kushangiliwa, MREMA alisukumwa mwaka 1995 sembuse kushangiliwa. Walimshangilia kama Msanii wa Kizazi kipya siyo kama Mbunge. Wana Mbeya walishamsoma SUGU kuwa ni mpenda sifa , hivyo ni lazima wampe haki yake. Wanajua wazi kwamba pale hawana Mbunge bali msanii
Mbona unakimbilia ku judge,"walimshangilia kama msanii" why? unawasemea wao? kwanini basi isiwe kama mbunge? unaonekana una tatizo zaidi la kibinafsi nae