pascaldaudi
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 534
- 96
Wana JF, mnafahamu maneno aliyoyasema Mhesimiwa "sugu" kule musoma, sasa kauli yake hiyo binafsi sikuipenda kwani muziki ni ajira ambayo haifungamani na siasa, imewasiadia vijana wengi kupata ajira na kuwafanya waone "kumbe inawezekana".