STARTV: Maamuzi ya NEC-CCM kuelekea 2015

Wamekosa mwelekeo, wanakwenda kuanzisha mkoa wa vyuo vikuu, UVCCM wanafanya nini, kwa maana hiyo kuna umoja wa vijana wa CCM waliobahatika kupata elimu ya juu na Umoja wa vijana wa CCM waliokosa elimu a.k.a Mambumbu wanawateka walioko vyuo vikuu wajewawaelimushe mbumbu's By the way how many youth, especially those in higher learning are CCM members they are less than 2% In my compass hardly 0.5%
 
Back
Top Bottom