Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 420
Mkuu asante kwa kutujali lakn nikushauri kwamba ingekua vema kama ukaleta mada mtakayoijadili siku moja kabla ya kupresent hiyo mada kupitia Tv ili watu waweze kutoa michango mingi binafsi nimekuta mnamalizia kipindi lakn ntajitahidi kufuatilia kama ulivyosema kua kipindi kinaweza rudia either J4 au J2.
But all in all thanks mkuu kwa kuleta mada kwa watz na ikibidi tuombe humu tuweka mada mbalimbali then chagua the best topic then ukapresent kwenye tv
But all in all thanks mkuu kwa kuleta mada kwa watz na ikibidi tuombe humu tuweka mada mbalimbali then chagua the best topic then ukapresent kwenye tv