Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Tumeonelea ni vema tukaurejesha tena mjadala huu kutokana na kuendelea kuyumba kwa usimamizi wa shughuli za kila siku Bungeni na hivyo kupelekea mizozo na kurushiana maneno kwa wabunge mara kwa mara.
Tafiti za karibuni zinaonyesha kuongezeka watazamaji wa Bunge hata wale ambao walikuwa hawalitazami, wanafanya hivi si kwa kufuatilia masuala muhimu ya kitaifa bali kujua leo nani kapewa mipasho na mwenzie ( kama tujuavyo hulka ya watanzania wengi kushabikia mambo ya hovyo hovyo)
Michango iwasilishwe kupitia 0685 358973 (Live Text zitasomwa wakati wa Kipindi ) kipindi kinaanza saa 1 na DK 30 hadi 3 kamili asubuhi
Tafiti za karibuni zinaonyesha kuongezeka watazamaji wa Bunge hata wale ambao walikuwa hawalitazami, wanafanya hivi si kwa kufuatilia masuala muhimu ya kitaifa bali kujua leo nani kapewa mipasho na mwenzie ( kama tujuavyo hulka ya watanzania wengi kushabikia mambo ya hovyo hovyo)
Michango iwasilishwe kupitia 0685 358973 (Live Text zitasomwa wakati wa Kipindi ) kipindi kinaanza saa 1 na DK 30 hadi 3 kamili asubuhi