lakiwosha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2012
- 203
- 79
Hiki Kituo Nani Alikifungulia Kilipokwepa Kodi
Maajabu sana wakati wanakifungia kila kona walitangaza lakini ghafla kikaanza kufanya kazi bila kujua kama deni limeshalipwa si ndo yale yale nidai nikudai