Mkuu Yahya, kile kipindi cha THE TANZANIA WE WANT cha mdahalo kiliishia wapi?
Ningetamani muwaweke jukwaani, Nape, Mnyika, Mtatiro then iwepo session ya Mbatia, Zitto na Mwigulu.
Pia iwepo ya Lusinde, Komba, Msigwa na Machari
Kuna jambo moja ambalo tumefumbia macho. Spika Anne Makinda ni mjumbe wa CC ya CCM. Hiki ndicho chombo cha juu kabisa cha CCM na mwenyekiti wake ni Rais! Hivyo Spika hawezi kuongoza bunge au kuruhusu hoja inayokinzana na mipango/maagizo ya CC ya CCM. Kwa namna yoyote ile, Spika hawezi kuwa 'fair' kama ataendelea kuwa mjumbe wa CC. Na ninaamini muda si mrefu huu mkanganyiko unaeweza kuwa a good case study ya mkorogo wa utawala Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.