kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Le Mutuz, Mnyika hakupewa muda wa kufafanua kwanini alitoa kauli ile, wewe unawezaje kumhukumu kuwa alikosea sana?
Nakushauri acha ushabiki wako kwa CCM. Chambua hoja bila upendeleo. Kama rais ni tatizo kwa nini watu wasiseme?
Le mutuz nae ni walewale tu,
hana lolote zaidi ya kuchanganya kingereza na kiswahili.