Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Salaam wanajamvi,
Natumai sote tumeamka salama kwa uwezo wake Mola: Jumapili ya leo tutazungumzia suala zima la uwajibikaji Viongozi wetu kwa nini si suala la hiari?
wageni
Mh. Mrema
Bw. Kibamba
Bw. Kasongi
Mjadala utaongozwa hapa JF na MOD na pia katika Luninga Yahya - DAR na Range Mza
Karibuni
Natumai sote tumeamka salama kwa uwezo wake Mola: Jumapili ya leo tutazungumzia suala zima la uwajibikaji Viongozi wetu kwa nini si suala la hiari?
wageni
Mh. Mrema
Bw. Kibamba
Bw. Kasongi
Mjadala utaongozwa hapa JF na MOD na pia katika Luninga Yahya - DAR na Range Mza
Karibuni