Cantalisia,
watu hawajui kua hakuna kazi ngum kama kuchekesha...mana nisipocheka tu basi hujafanya kazi!..
Unaweza fanya action kibao mtu asicheke ila mwingine anakuja kufanya kama wewe afu mtu anacheka kuchekesha ni kaziiiiii.....
kweli bana...wengine wanatumia nguvu nyiingi...kujibadilisha,kujifanya wanawake akati ni wanaume...nisielewe huo ndio uchekeshaji...mm nahisi hili suala ni lakutoka kwenye damu...sio kulazimishia!..kuna comedy moja ya nigeria mtu kasimama tu anaongea ila kiroho safi utacheka tu!
nomaa!..bora humu kuna watu wananichekesha kwa maandishi tu
kweli bana...wengine wanatumia nguvu nyiingi...kujibadilisha,kujifanya wanawake akati ni wanaume...nisielewe huo ndio uchekeshaji...mm nahisi hili suala ni lakutoka kwenye damu...sio kulazimishia!..kuna comedy moja ya nigeria mtu kasimama tu anaongea ila kiroho safi utacheka tu!
Yan tena humu huwa nacheka mpaka na maliza hamu lol!km hao wa leo wala bora hata enzi za akina masanja hata nicpochekeshwa na maneno au vitendo vyao japo mavaz yalikua yakinitabasamisha!
Mr bean wabongo ni majuto tu
Unacheka hadi "unamaliza hamu"! Basi Mh. Rejao hua ana kakibarua kadogodogo! Anamalizia kahamu kalikosalia !