stand-up comedy clouds TV!

Evans Bukuku is something else jamaa is so funny ukienda kwenye show ndio utaona to the fullest.
Naona baadhi hawaelewi concept ya stand up comedy

sio mbaya ukitutupia maujuzi hapa!..ni kweli tupo wengi hatujui!
 
Evans Bukuku is something else jamaa is so funny ukienda kwenye show ndio utaona to the fullest.
Naona baadhi hawae
lewi concept ya stand up comedy

Kweli tunatofautiana,katika watu wasiojua kuchekesha ni Evans Bukuku...iwe stand up or other wise ..sijui kwa nini hata aliingia kwenye comedy,anastruggle kumchekesha mtu,mi mara elfu joti nitacheka au Mizengwe itv.
 
Kweli tunatofautiana,katika watu wasiojua kuchekesha ni Evans Bukuku...iwe stand up or other wise ..sijui kwa nini hata aliingia kwenye comedy,anastruggle kumchekesha mtu,mi mara elfu joti nitacheka au Mizengwe itv.

tehe, hata mie nlishangaa, kichekesho cha mtu kuoga ofcn, kwanza inashangaza mie nlijua ni mahojiano labda ya waigizaji, lol kumbe vichekesho! Ndo nachekea hapa saa huu
 
tehe, hata mie nlishangaa, kichekesho cha mtu kuoga ofcn, kwanza inashangaza mie nlijua ni mahojiano labda ya waigizaji, lol kumbe vichekesho! Ndo nachekea hapa saa huu

nakwambia bora humu JF nachekaga(sorry kisukuma icho...nipo SHY) KULIKO HAO WANAOJIITA COMEDY!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom