Mheshimiwa Spika sisi watanzania tunakuomba kwa heshima na taadhima wabunge hawa waitwe kamati ya maadili ya Bunge na baadaye wahojiwe TAKUKURU kwa tuhuma za Rushwa bungeni.
1. Rashid Shangazi Mbunge wa Mlalo- Tuhuma za kushawishi mamlaka kuipa kazi Kampuni ya DP World.
2. Januari Makamba- Mbunge wa Bumbuli na Waziri wa Nishati- Tuhuma za kugawa fedha na majiko ili kuipa upendeleo kampuni za mradi wa gesi wa LNG.
3. Joseph Msukuma- Tuhuma za kuhongwa mamilioni ya dola na kupewa gari jipya VX-V8 ili kuipigania Kampuni ya DP kununua bandari za Tanganyika.
Wabunge wengine tunaweza kuendelea kuwaorodhesha.
1. Rashid Shangazi Mbunge wa Mlalo- Tuhuma za kushawishi mamlaka kuipa kazi Kampuni ya DP World.
2. Januari Makamba- Mbunge wa Bumbuli na Waziri wa Nishati- Tuhuma za kugawa fedha na majiko ili kuipa upendeleo kampuni za mradi wa gesi wa LNG.
3. Joseph Msukuma- Tuhuma za kuhongwa mamilioni ya dola na kupewa gari jipya VX-V8 ili kuipigania Kampuni ya DP kununua bandari za Tanganyika.
Wabunge wengine tunaweza kuendelea kuwaorodhesha.