Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 13,106
- 22,138
😅😅😅Ameona isiwe tabu wacha ajitengenezee kajimbo kake ka maisha
😅😅😅Ameona isiwe tabu wacha ajitengenezee kajimbo kake ka maisha
Sikonge manne.Mbagala inatoa majimbo matatu
Kwani yeye alitoa hoja gani kutetea huo utashi?Tayari hukuView attachment 2608319
Situation is tafu"the shit is real real"😅😅😅😅
Nchi ina maajabu hii...Wanataka kuongeza wafanyakazi wenye mishahara mikubwa na mabahasha....
Nani huyo ??Kwani yeye alitoa hoja gani kutetea huo utashi?
na SUGU amemjibu Tulia amesema"Jimbo la Mbeya likigawanywa nitagombea atakapo gombea Tulia,maana bado sijamalizana naye"
TuliaNani huyo ??
😅😅😅😅wacha waipate wenyeweTulionya mapema tukapuuzwa
Nakazia.😃Ameshaona hatoboi kwa Sugu..
Kivuli tu kinafanya anastukastuka..
Huyo Tulia anatafuta kukwepa kupambana na SUGU maana anajua hawezi kutoboa!View attachment 2608230
Picha: Spika Dkt. Tulia Akson
Spika wa Bunge, Tulia Ackson ni miongoni wa wabunge waliowasilisha maombi ya kugawa majimbo yao ili kuwa mawili kutokana na ukubwa na wingi wa watu.
Taarifa hiyo imetolewa leo bungeni na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu Ummy Nderiananga wakati akijibu swali la nyongeza la mbunge wa Viti Maalum Sophia Mwakagenda.
Katika swali lake Mwakagenda ameuliza ni lini serikali italigawa jimbo la Mbeya mjini ambalo linaongozwa na Spika wa Bunge Tulia Ackson kutokana na ukubwa wake.
“Mheshimiwa Tulia Ackson alishawasilisha kwenye mamlaka nia ya kuomba jimbo hilo ligawanywe, serikali inatafakari maombi hayo na wakati utakapofika vigezo vitatazamwa,” amesema Ummy.
Katika swali la msingi mbunge wa Kilindi Omari Kigua ameuliza ni lini Serikali italigawa Jimbo la Kilindi kutokana na jiografia yake.
Naibu Waziri amesema kwa sasa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ipo katika maandalizi mbali mbali ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025.
“Hivyo kwa kuzingatia taratibu na vigezo ,muda wa kugawa majimbo utakapofika Tume itatoa tangazo rasmi kwa wadau wote wa uchaguzi juu ya kuanza kwa machakato wa ugawaji wa majimbo ili wadau wawasilishe maoni na maombi yao na hivyo kushughulikiwa kwa mujibu wa vigezo vilivyowekwa kikatiba,”amesema Ummy.
Ummy amesema majimbo mengi yameomba kugawanywa lakini mambo yanayotazamwa ni pamoja na ukubwa wa ukumbi wa bunge, idadi ya wabunge wa viti maalumu na jiongrafia za maeneo yaliyoomba kugawanywa.
Chanzo: Mwananchi
Hehee ndio utajua serikali ya ccm iko kwa ajili ya nani.India ina watu 1.4 billon ina wabunge 788 wa upper house na lower house.Tanzania yenye watu 61M ina wabunge 360.
Africa aliye tuloga asha kufa.
Anamkimbia Sugu na keshasema ulipo naye yupo mpaka uteme mbungo na bahati mbaya Samia sio Magufuri Free &fair electionView attachment 2608230
Picha: Spika Dkt. Tulia Akson
Spika wa Bunge, Tulia Ackson ni miongoni wa wabunge waliowasilisha maombi ya kugawa majimbo yao ili kuwa mawili kutokana na ukubwa na wingi wa watu.
Taarifa hiyo imetolewa leo bungeni na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu Ummy Nderiananga wakati akijibu swali la nyongeza la mbunge wa Viti Maalum Sophia Mwakagenda.
Katika swali lake Mwakagenda ameuliza ni lini serikali italigawa jimbo la Mbeya mjini ambalo linaongozwa na Spika wa Bunge Tulia Ackson kutokana na ukubwa wake.
“Mheshimiwa Tulia Ackson alishawasilisha kwenye mamlaka nia ya kuomba jimbo hilo ligawanywe, serikali inatafakari maombi hayo na wakati utakapofika vigezo vitatazamwa,” amesema Ummy.
Katika swali la msingi mbunge wa Kilindi Omari Kigua ameuliza ni lini Serikali italigawa Jimbo la Kilindi kutokana na jiografia yake.
Naibu Waziri amesema kwa sasa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ipo katika maandalizi mbali mbali ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025.
“Hivyo kwa kuzingatia taratibu na vigezo ,muda wa kugawa majimbo utakapofika Tume itatoa tangazo rasmi kwa wadau wote wa uchaguzi juu ya kuanza kwa machakato wa ugawaji wa majimbo ili wadau wawasilishe maoni na maombi yao na hivyo kushughulikiwa kwa mujibu wa vigezo vilivyowekwa kikatiba,”amesema Ummy.
Ummy amesema majimbo mengi yameomba kugawanywa lakini mambo yanayotazamwa ni pamoja na ukubwa wa ukumbi wa bunge, idadi ya wabunge wa viti maalumu na jiongrafia za maeneo yaliyoomba kugawanywa.
Chanzo: Mwananchi
from facebook(Livino Haule)"the shit is real real"