Ile control number kaz yake nini?Wadau nimeingiza detail zangu sijapatiwa CONTROL NUMBER, inajibu "we are still working on your request, please come back after few minutes “ hadi sasa zaidi ya dakika 1800 bado inaonesha msg hyo hiyo inaweza kuwa kwangu tu au na wengine? Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio namba yako ya malipo.Ile control number kaz yake nini?
Hiyo control number ndio namba yako watayokutaka ungize. Ndio namba ya malipo (kumbukumbu number)Na kumbukumbu namba unaandika IPI?
Hiyo namba utaona kwenye dashboard utakapoingia. Itafanana na hiyo waliyokutumia kwenye sms.Na kumbukumbu namba unaandika IPI?
Mbona nikilipa kwa mpesa sipaoni pa kuiweka hiyo control/namba ya kumbukumbuHiyo control number ndio namba yako watayokutaka ungize. Ndio namba ya malipo (kumbukumbu number)
Ukulima ipo "peasant"KWENYE FOMU YA KUJAZA MKOPO KUNA KAZI ZNGNE HAZIPO MFANO kazi ya UKULIMA ina maana watanzania wote si wakulima ??
nakushauri wewe na wengine mkalipie bank huko kwingine ni shidaaaa.Mbona nikilipa kwa mpesa sipaoni pa kuiweka hiyo control/namba ya kumbukumbu
Benk unalpia vpnakushauri wewe na wengine mkalipie bank huko kwingine ni shidaaaa.
tunaambatanisha na chet cha kidato cha sita?Kuna taarifa Mpya et mikopo watapata wanaosoma sayans tu?
Sometimes kama unatumia computer na access internet kupitia cable uwa inaleta shida....kama una modem tumia iyo kufungua iyo website ya bodiNmejaribu mchana waleo imzeinda..ntaingia kucheki tena kesho..naona mfumo umeroga..
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha yako inahitajika yenye ukubwa wa 150*120 isizidi.Wakuu naombeni mnisaidie
mm nmekwama katika ku upload passprt size yangu na mdhamin wangu na kila nikitaka ku upload wananiletea ujumbe usemao
"the opload path does not appear to be valid" sasa nifanyejee msaada wakuu