Lyambalyetu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 265
- 240
Ni mbaya sana. Yaani semester ya kwanza vyuoni inamalizika lakini watoto wengi wale waliopata mikopo batch ya mwisho hawajapata. Watoto hawa wamekuwa wakiingia na kutoka Ofisi za Maafisa Mikopo vyuoni na hata kwenye Ofisi zao hao HESLB lakini hawasaidiwi chochote.
Imeniskitisha nimekutana na Mwanafunzi wa Chuo ameamua kurudi nyumbani kusikilizia kwanza kwa kuwa mkopo wake hajapewa kwani malipo toka Board hayajafanyika. Mbaya sana hii!
Huyu Badru pamoja na kutumia mifumo ya kisasa lakini kazi imemshinda kabisa.
May be kwa sababu wanaohangaika ni watoto wa maskini - angekuwa mtoto wa Waziri wetu wa Elimu pengine ni mnufaika wa hii mikopo labda pengine wangekuwa wameshalipwa.
HESLB kwa kweli inaumiza mnoo! Watoto hawa kwa kuwa wanaenda vyuoni umri mdogo tofauti na wenzao wa zamani basi wanagugumia tu na hawawezi kujitetea na wala kupigania haki zao - yaani hata niliyemwona anarudi nyumbani baada ya malipo yake kuchelewa kuingia amekonda ile mbaya.
HESLB mna dhambi sana nyie! Kweli tena!
Imeniskitisha nimekutana na Mwanafunzi wa Chuo ameamua kurudi nyumbani kusikilizia kwanza kwa kuwa mkopo wake hajapewa kwani malipo toka Board hayajafanyika. Mbaya sana hii!
Huyu Badru pamoja na kutumia mifumo ya kisasa lakini kazi imemshinda kabisa.
May be kwa sababu wanaohangaika ni watoto wa maskini - angekuwa mtoto wa Waziri wetu wa Elimu pengine ni mnufaika wa hii mikopo labda pengine wangekuwa wameshalipwa.
HESLB kwa kweli inaumiza mnoo! Watoto hawa kwa kuwa wanaenda vyuoni umri mdogo tofauti na wenzao wa zamani basi wanagugumia tu na hawawezi kujitetea na wala kupigania haki zao - yaani hata niliyemwona anarudi nyumbani baada ya malipo yake kuchelewa kuingia amekonda ile mbaya.
HESLB mna dhambi sana nyie! Kweli tena!