mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
inshu ya Igunga ndo mahala CDM wanatakiwa kutulia na kuonyesha umakini wa hali ya juu sana. baada ya mgombea kupatikana, ilani za kuuza wakati wa kampeni,, ijadiliwe/ipatikane pia namna ya kulinda kura/kuhakikisha uchaguzi unafanyika fairly na kura zinasimamiwa vzuri. pressure itakuwa kubwa sana kwa mkurugenzi kuelekezwa kuchakachua matokeo incase mwelekeo unakuwa mbaya kwa CCM (binafsi nawaombea njaa ccm)