Solve math ya form 1.

Sasa tupige kura kati ya 64 na 84. Angalau wa 64 ameonyesha njia aliyotumia. Waliojibu 84 wamepiga ramli.

We kazikubwa nivije...ebu angalia uyo aliyepata 64 kagawanya sahihi??! Kura kapige ww na....
 
Last edited by a moderator:
Hahahahah.. Gaijin msamehe Nyani Ngabu...huyu mzee wa ngwini katoka kapa hapa.

Mzizi wa fitna kichwani kwa Ngabu labda, maana hapa sijauona :]

Huyo anaesema jawabu ni 85 labda awe ametumia assumption kuwa hizo kengele zilikuwa tayari zinafanyakazi at time minus t (-t) or else kengele hazitalia at time t equal to zero (t=0), maana hapo ndo zimeachiwa kuanza kufanya kazi, hazianzi kwa kupiga kengele.
 
Last edited by a moderator:
Mzizi wa fitna kichwani kwa Ngabu labda, maana hapa sijauona :]

Huyo anaesema jawabu ni 85 labda awe ametumia hypothesis kuwa hizo kengele zilikuwa tayari zinafanyakazi at time minus t (-t) or else kengele hazitalia at time t equal to zero (t=0), maana hapo ndo zimeachiwa kuanza kufanya kazi, hazianzi kwa kupiga kengele.

Gudi jobu...kumbe apo kwenye ayo mavitabu kuna na ya hisabatieee??!
 
Hahaaaa,

Avumaye Lawrence Summers, kumbe wengine kibaaaao wamo.

Lawrence Summers haoni ndani kwa Wabongo, hata kidogo tena!

Mbaya yenyewe hata tukigutuliwa, hatugutuki

Kama imo damuni vile!
 
My CV.
O-Level: Tabora Boys
A-Level: Hilcrest High school
Bachelor: Mining Engineering
Ans.
LCM=120mins
they'll ring together after 120mins
>1week=(7×24×60)mins
1week=10080mins
==>10080mins/120mins
84
:- The bells will ring together 84 times in a period of 1 week

Excellent boy!
 
Back
Top Bottom