The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
SteveD
Hii nimeizima kutoka kwako na ni ujumbe tosha kwa Mwanakijij
Ni kiswahili cha kisasa au kitu gani?
SteveD
Hii nimeizima kutoka kwako na ni ujumbe tosha kwa Mwanakijij
Wewe sio tishio kwa mafioso.
Ukitaka kujificha hapa duniani usitumie any electronic gadget, vinginevyo wajanja watakunasa tu.
Kuna technologies za kutosha hapa duniani kunasa hata wale wanaojifanya wajanja sana.
Watu wengi wananaswa shauri ya wanawake na simu.
Sasa Dr. Mwakyembe au Sitta tishio kwa mafioso vipi? Tatizo hapa sio mafioso, bali sisi wenyewe ambao tumejaa uwoga.
Dr. Slaa na list yake ya mafisadi, bado anadunda mitaani. Hao akina Sitta kweli wamefanya nini cha kuwafanya mafisadi watoe roho zao?
Mkuu Mwikimbi,
Mbona bado unatesa tu mkuu, au bado wanatafuta risasi za kukutwanga nazo? Au ndio uliogopa na hukumwaga siri tena? Kuna watu wanajua Watanzania tumezidi uwoga na wanatumia weakness hiyo kutishia watu.
Hivi kama tunaogopa vifo hivyo, mbona tuna take risk kirahisi kwenye ukimwi? Kwa mimi afadhali mtu anitwange risasi kuliko kusumbuana na ugonjwa miaka na miaka.
Mtanzania,Sasa Dr. Mwakyembe au Sitta tishio kwa mafioso vipi? Tatizo hapa sio mafioso, bali sisi wenyewe ambao tumejaa uwoga.
Dr. Slaa na list yake ya mafisadi, bado anadunda mitaani. Hao akina Sitta kweli wamefanya nini cha kuwafanya mafisadi watoe roho zao?
Mtanzania,
Mimi nadhani Dr. Mwakyembe ni tishio kwa mafioso kwa sababu wanajua he knows more than he let out in his report. Baada ya juhudi zao za kujisafisha kugonga mwamba naona wanaweza kuwa desperate. Kwa Mhe Sitta, sijui. Labda hayuko upande wao?
MODs haraka sana peleka hii habari kwenye tetesi, tumechoka na hizi habari tunataka tujadili masuala yakutatua shida za wananchi na siyo blah-blah.
Mkamap, no disrespect, lakini hiyo ya kutupa simu au kwenda pahali remote kupiga simu ndiyo unaona ni njia murua ya kujificha ukitaka kutuma text za namna hiyo?!.... ndugu yangu ukitaka kujua hiyo ni kinga au siyo kinga jaribu kutuma text ya kulipua bomu ubalozi wa marekani kwa mlinzi au ofisa mmoja halafu kwa bahati mbaya itokee kuwa ubalozi huo unalipuka. Osama kule kwenye mapango yake kule Tora Bora ndiyo maana hatumii au alikuwa hatumii electronic messaging.
Tatizo watu wanachofikiria hapa huwa ni cellular number au IP au MAC address ya mtu tu ndiyo inayo identify watu katika electronic communications, wanasahau kuwa mtu ukipiga hata picha kwenye digital camera aina nyingi au kurecord video kuna time na gps codecs stamps zinazoweza kuwa gleaned na manufacturer wa equipment au top level forensics.
Hapana mkuu.
Ni kwamba sauti ama picha ya mtu haipotei hewani, hivyo setelite kazi yake hua constantly inapiga picha.
Kwa hiyo ukipiga simu ama ukatuma sms mda na sehemu ulipokua unatuma inabakia palepale ,hivyo wao wanachofanya ni kurudisha satelite yao na kuangalia picha ya mahali hapo kwa mda ule sms ilipokua inatumwa ama simu ilipokua inapigwa.ndio kama mlikua wengi wakati huo mkipiga simu ama kuandika sms ndio maana unaona mnakamatwa wote na kupelekwa quantanamo na kuwapa mateso ya nguvu hapo ndipo watatambua mhusika halisi.
Lakini kwa serikali yetu ni sawa na kumlaumu SISIMIZI kwa nini hawezi kubeba kisoda cha maji.
Hmmmm!!! KUna thread tumezungumzia maswala ya ku-triangulate simu za mkononi kwa kutumia IMEI.
Its pity tupo busy tunajadili udaku Im out...