hiyo sms ni danganya toto tuu katika mambo ya kutishana. Ila pia kuna Mamafia bongo kwenye medani za siasa huwa wanawakolimba watu kimya kimya. No posibility of leakage. Msiwe na wasiwasi na danganya toto.
Kaka yangu Pasco, Je, bado una msimamo huo huo kwamba hiyo sms ilikua ni danganya toto licha ya haya yaliyomtokea Dr. Mwakyembe?