MwanaCBE
JF-Expert Member
- Sep 23, 2009
- 1,771
- 804
Na utaboeka sana safari hii. Movie ndo inaanza.Naona Chadema wameishiwa na sera, hawana kipya ila majungu, fitina na hoja zisizo na maana hata chembe.
Kuwepo au kutokuwepo nchini Rais si hoja ya msingi, kwani huko alikokwenda alienda kucheza?
Wanatubowa na vijineno neno vya ufataani na siasa za kuwabagua wananchi, halafu wanaongelea udini? Wamesahau kuwa kanisa liliwakataa waumini kwa kuwa wameipigia kura CCM? wamesahau Slaa alipoifananisha CCM na Taliban? Sasa hapo nani ni mdini?