Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
dawa ni kuwafirisi tu!wanatuibia kisha wanatukashifu
Utoto,kibri na umbumbu unaanza kujionyesha kwa mawaziri wa jk..baada ya kauli tata ya jana ya mzee wa twiga wa ngorongoro kwamba "ccm siyo mama yangu"leo tena mwingine kaibuka eti pamoja na kuvuliwa uwaziri hawezi kua ombaomba...kauli hii kaitoa mzee wa vibatali(Ngereja)kwenye moja ya maduka(supermarket)alipopewa pole na dada mmoja ambaye ni muudumu wa duka hilo...sasa hizi kauli zinaonyesha ni kiasi gani walivyochuma vya kutosha na katu ata wakiishi miaka 200 hawawezi kupata shida ya pesa.
Kajipanga vilivyo na maisha ni mkweli kwani anaamini kuwa hakuzaliwa kuwa waziri, nafikiri maisha yataenda hata asipokuwa waziri,,,,,,,, atapunzika na kelele za ZZK na timu yake.
Awe amesema awe hajasema kinachotakiwa pesa yetu arudishe....kwanza mtu mwenyewe huwa anavishobokea videmu sana,pengine bcoz aliona kuna demu akashobokea,sii huyu huyu ndio aliyemuhonga demu $3000 kwenye ndege au?
Utoto,kibri na umbumbu unaanza kujionyesha kwa mawaziri wa jk..baada ya kauli tata ya jana ya mzee wa twiga wa ngorongoro kwamba "ccm siyo mama yangu"leo tena mwingine kaibuka eti pamoja na kuvuliwa uwaziri hawezi kua ombaomba...kauli hii kaitoa mzee wa vibatali(Ngereja)kwenye moja ya maduka(supermarket)alipopewa pole na dada mmoja ambaye ni muudumu wa duka hilo...sasa hizi kauli zinaonyesha ni kiasi gani walivyochuma vya kutosha na katu ata wakiishi miaka 200 hawawezi kupata shida ya pesa.
Utoto,kibri na umbumbu unaanza kujionyesha kwa mawaziri wa jk..baada ya kauli tata ya jana ya mzee wa twiga wa ngorongoro kwamba "ccm siyo mama yangu"leo tena mwingine kaibuka eti pamoja na kuvuliwa uwaziri hawezi kua ombaomba...kauli hii kaitoa mzee wa vibatali(Ngereja)kwenye moja ya maduka(supermarket)alipopewa pole na dada mmoja ambaye ni muudumu wa duka hilo...sasa hizi kauli zinaonyesha ni kiasi gani walivyochuma vya kutosha na katu ata wakiishi miaka 200 hawawezi kupata shida ya pesa.
Utoto,kibri na umbumbu unaanza kujionyesha kwa mawaziri wa jk..baada ya kauli tata ya jana ya mzee wa twiga wa ngorongoro kwamba "ccm siyo mama yangu"leo tena mwingine kaibuka eti pamoja na kuvuliwa uwaziri hawezi kua ombaomba...kauli hii kaitoa mzee wa vibatali(Ngereja)kwenye moja ya maduka(supermarket)alipopewa pole na dada mmoja ambaye ni muudumu wa duka hilo...sasa hizi kauli zinaonyesha ni kiasi gani walivyochuma vya kutosha na katu ata wakiishi miaka 200 hawawezi kupata shida ya pesa.
Watu wengine bana, ulitaka alie kama mtoto, au ulitaka aseme kwamba hana uhakika wa kula? Kwani kabla ya kuwa waziri alikuwa omba omba?
Hivi ni vitu vya kawaida katika maisha,,,take them easy!