Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Kama kuna kitu ambacho sipendi kitokee maishani ni kuacha kutandika kitanda baada ya kuamka
Hivi wewe unaamka unamwachia nani akutandikie kitanda chako,,,kuna familia yaani wanandoa mwenzao mmoja akiondoka nakwambia ni balaa tupu akikaa siku tatu anakuta chumba jalala ...yaani hata kitanda atandiki baya zaidi mtu huyo shuka tangu aache nazo jamani hata kuamka kuingia kabatini utandike shida????jamani kwa nini....tujipende nasema hili kwa msaada wa baadae kama ujaoa ama kuolewa utalijua hili yakikufika.na kama tayari na mwenzio mnalala nae chumba kimoja wa mwisho atandike kitanda ...jamani usiwe tegemezi ati mkeo ndio wa kutandika kitanda mwenyewe..nani kakwambia............,jamani wenye ndoa zao...pendeni usafi mwanaume mkeo kaamka asubuhi na mapema...ukiamka saa tatu tandika kitanda...angalia manzari ya chini kuchafu usiite house girl kutandika ama kusaficha chumba chako....acheni hizi...chukua fagio fagia yeye atatupa uchafu nje...same kwa wanawake...usafi wa chumbani mwako ni muhimu sana....anza sasa...
kila la kheri
Hivi wewe unaamka unamwachia nani akutandikie kitanda chako,,,kuna familia yaani wanandoa mwenzao mmoja akiondoka nakwambia ni balaa tupu akikaa siku tatu anakuta chumba jalala ...yaani hata kitanda atandiki baya zaidi mtu huyo shuka tangu aache nazo jamani hata kuamka kuingia kabatini utandike shida????jamani kwa nini....tujipende nasema hili kwa msaada wa baadae kama ujaoa ama kuolewa utalijua hili yakikufika.na kama tayari na mwenzio mnalala nae chumba kimoja wa mwisho atandike kitanda ...jamani usiwe tegemezi ati mkeo ndio wa kutandika kitanda mwenyewe..nani kakwambia............,jamani wenye ndoa zao...pendeni usafi mwanaume mkeo kaamka asubuhi na mapema...ukiamka saa tatu tandika kitanda...angalia manzari ya chini kuchafu usiite house girl kutandika ama kusaficha chumba chako....acheni hizi...chukua fagio fagia yeye atatupa uchafu nje...same kwa wanawake...usafi wa chumbani mwako ni muhimu sana....anza sasa...
kila la kheri