Siwapendi msiotandika vitanda vyenu!

Jamani sio kupangiana zamu bali ni kufanya kwa upendo. Hebu fikiri mtu anasafiri akirudi anakuta chumba hakijulikani mlango upo wapi na kabati lipo wapi. Ch*#i zimetapakaa kila mahali, kitanda shaghalabaghala na viatu ndo usiseme..hivi hata hamu ya majamboz itakuwepo kweli
 
nimeona!
THAT'S MY BOY!yani wewe ndo founder zen unapangiana zamu na mama kutandika kitanda sijui kupika.zero pabu wakijua hili bia zitanyweka kweli?(hasa inapokumbukwa kwamba wewe ndiye unaefunga baa mara kwa mara watu wanywe bure:D)

hahaha! yaani mama Kabinti yuko zero pub anashindilia serengeti na kokoto afu baba kabinti niko home napiga mashuka pasi! You cant be serious! Hata vitabu vya Maulana havikubaliani na hili!
 
Ndio maana muda mwingine access inakuwa denied maana mtu anajiona kama object na sio human being

Binti siku moja mzee mmoja aliwahi niambia kuwa siku wanawake wangekuja kujua umuhimu wa kazi wanazozifanya wasingetaka hata siku moja mwanaume azijue akajifanyia. Rafiki yangu mmoja alitengana na mkewe kwa muda hivi, kabla hawajarudiana nilimuuliza ni kitu gani kinacho miss kwenye maisha yake tangu aachane na mpezi wake, jibu alilolitoa lili nifanya nimpigie simu yule mzee kukubali usemi wake..eti jamaa hawezi kupata soksi zake asubuhi kwani siku zote mkewe ndio alikuwa anampangia soksi..and that small things ndivyo vinavyowafanya wanawake muwe spesho kuliko viumbe wengine huku duniani( oni siriasi noti)
 
Binti siku moja mzee mmoja aliwahi niambia kuwa siku wanawake wangekuja kujua umuhimu wa kazi wanazozifanya wasingetaka hata siku moja mwanaume azijue akajifanyia. Rafiki yangu mmoja alitengana na mkewe kwa muda hivi, kabla hawajarudiana nilimuuliza ni kitu gani kinacho miss kwenye maisha yake tangu aachane na mpezi wake, jibu alilolitoa lili nifanya nimpigie simu yule mzee kukubali usemi wake..eti jamaa hawezi kupata soksi zake asubuhi kwani siku zote mkewe ndio alikuwa anampangia soksi..and that small things ndivyo vinavyowafanya wanawake muwe spesho kuliko viumbe wengine huku duniani( oni siriasi noti)

Onyesheni basi kuwa mnathamini tunachofanya sio siku sox hazionekani basi unamkoromea mke wako as if umemuajiri..its not fair at all
 
Onyesheni basi kuwa mnathamini tunachofanya sio siku sox hazionekani basi unamkoromea mke wako as if umemuajiri..its not fair at all

Kama ipo midume kama hiyo haikulelewa vizuri kwa wazazi wake, wanaume wa ukweli huwabembeleza wanawake na pia huwadekeza.
 
Onyesheni basi kuwa mnathamini tunachofanya sio siku sox hazionekani basi unamkoromea mke wako as if umemuajiri..its not fair at all


Binti ukichunguza sana utakuta kuna kuajiriana kwa namna fulani, kinachotofautisha ni TOR tu za kila mmoja
 
Inategemea na jinsi alivyolelewa na wazazi/walezi wake,kuna wanaume
wamelelewa vizuri kweli kweli. Wanafahamu kazi zote zinazotakiwa kufanyika ndani ya nyumba. Hivyo haijalishi kabila hapa, sana sana ni malezi..........kama alipata mzazi/mlezi mzuri huyo mwanaume atatandika tu kitanda.


Huyo anayefahamu kazi zote labda ni ANTI fulani bana, wengine hatujui ZOTE!
 
Kuna mwa JF kasema, kuwa tangu shule hadi chuo alikuwa ya boda, hivyo anajua kabisa kutandika kitanda. Na kwa wale tulipita JKT ndio usiseme jinsi tulivyokuwa tunatandika vizuri kwa "dressing". Yaani yale mablanket yanakunjwa kwa satili fulani ya box, yanaka kwa mstari-yanapendeza. Kwa hiy watu hawatandiki sio kwa sababu hawajui au hawakufundishwa utotoni. Ukishaoa, wenye majukumu yao wanaingia kazini, mpaka inakuwa mazoea na unasahau kabisaaaaa hiyo kazi. Sasa kosa letu liko wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom